TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!
Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!
Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?
Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia
Mwanaume haturidhiki
Nakaribisha Mapovu.
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!
Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!
Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?
Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia
Mwanaume haturidhiki
Nakaribisha Mapovu.