Usimkubali wala kumvumilia mwanaume asiye na pesa

Usimkubali wala kumvumilia mwanaume asiye na pesa

What if i prefer sex over money?

Anyway nadhani kuwa mwanamke siyo disability ya kumfanya awe tegemezi kiasi hicho

Pia mapenzi ni more than material things,watu wengine wana spiritual connection zinazowafanya wapendane na kuridhiana

Ila kama unazungumzia ukahaba naamin upo sahihi.
 
Nimemuona kipendacho roho JF



Kipindi cha likizo.




3dcf97b6ad9cc997d9c949c1e1e86d74.jpg
Asante. Kidogo nianze kujibu hoja...kumbe hawa watoto wanatakiwa kurudi shule januari.

Asante.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28], inasemekana mtoa mada amelazwa kwa presha...wakuu wameungana kutoa kichambo quality
 
Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!

Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!

Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!

Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?

Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia


Mwanaume haturidhiki

Nakaribisha Mapovu.
Acha kuendekeza ujinga. Mtu kuwa na pesa ama kutokuwa na pesa ni inategemea na maisha anayo ishi , and tambua hakuna mwanaume anaye penda umaskini.
Cha pili unawasukuma wanawake waweke tamaa ya kuomba pesa mfululizo, means unawamasisha kuwa malaya kama wa sinza, tofauti ni kuwa wale wanajiuza barabarani, nyine mnajiuza whatsapp,facebook.
Hela ninazo,kazi ya maana ninayo, lakin mwanamke akiendekeza ushenzi kama huo huwa namuondoa na kumtupilia mbali. Kisha navuta kingine. Staki stress ..

Kwa wanaume wenzangu, hata kama pesa mnazo.mwanamke akiendekeza tamaa ya pesa,mpoteze kama ben saanane.
 
Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!

Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!

Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!

Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?

Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia


Mwanaume haturidhiki

Nakaribisha Mapovu.
Hakili za kitoto hizo
 
Zama hizi ni za Toa kitu upate kitu.. Ukipewa ukazingua unaachwa kwenye mataa ni wachache sana wenye mioyo ya utoaji tuuuuu nae inafika wakati anachoka
Kwa wanaume wanaojua kusugua ila penniless pia wana ki bahati fulani....

Kwa wenye vyote mipesa na mshipa napo baadhi yao wanawake kazi tunayo foleni kama walimu wakiwa atm tarehe za mshahara

Cc Smart911
 
Back
Top Bottom