Usimpime kwa macho hii kitu ni ya ajabu

Kila kifo kina sababu....ukimwi nao ni sababu.
 
Sema makamanda tushajirpua sana aisee dah Kuna matukio nishapiga sitaki kuyakumbuka kamwe labda niwe nimelewa ndo nayakumbuka na kujifariji
 
Umeandika ujinga ulioambatana na uongo kwanza huna taaluma ya afya unaandika kitu hujui

Hivi unajua body temperature ikizid 36.5c ni hatar inapelekea baadhi ya organ ndan ya mwili kufa
 

UKIMWI HADI SASA NDIO UGONJWA HATARI NA TISHIO.
ACHENI NGONO. UKIMWI UNAUWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…