Usimruhusu mkeo kuchagua jina la mtoto wa kiume

Usimruhusu mkeo kuchagua jina la mtoto wa kiume

Mr. Sound

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
2,227
Reaction score
4,773
Salaam,

Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.

Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.

Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
 
Salaam,

Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.

Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.

Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Kwani mke ndio huwa anaita majina?? mimi wanangu wote majina nilishayaweka kwenye Dayari hata kabla hawajaja, walipokuja waliyakuta tu
 
Salaam,

Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.

Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.

Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Hakuna ubaya ili mradi tu liwe na maana nzuri.
 
Salaam,

Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.

Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.

Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Kwani hata ukimwita Juma ndio Kusema Juma dio EX wa mtu?

Kwanza ujasiri wa Mwanamke kumwita mtoto jina unatoka wapi?

Haya mambo hata Ulaya hayapo nyie waswahili mnayatoa wapi?
 
Back
Top Bottom