min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mpaka wawe shule maana yake tayari wanajitambuaHata shule wanatumia hayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka wawe shule maana yake tayari wanajitambuaHata shule wanatumia hayo?
Sawa, mi nilidhani hadi wafike 18Mpaka wawe shule maana yake tayari wanajitambua
Hili la trust mmefanikiwa sana,maana shida zote katika familia nyingi chanzo huanzia katika simuHuu ni wasiwasi tu kwa ndoa ambazo mume na mke hawaaminiani. Kwenye ndoa hakuna formula moja ambayo inafanya kazi kwa wote kwa namna ileile. Mimi na mke wangu tulikubaliana kutokuwekeana sheria yoyote, bali tuishi tu kwa upendo, uaminifu na kuheshimiana na ingawa mara nyingi tunakuwa na changamoto ya kifedha, lakini angalau kwa kiasi kikubwa tumeshinda matatizo mengi ambayo wanandoa wenzetu wanakumbana nayo. Moja ya eneo ambalo tumefanikiwa hasa ni trust. Mimi naweza nikasahau simu yangu nyumbani au mke wangu na kila mmoja akakuta phone calls na meseji zake hazijapokelewa au kusoma. Au wakati mwingine mmoja anaweza kuicha simu yake na kumwambia mwenzake "ikiingia meseji soma au mtu alinipigia simu pokea in case kuna meseji ya dharura inayohitaji jibu la haraka." Baadhi ya wanandoa mmoja akienda kuoga bafuni anakwenda na simu yake, ikiwa na maana kwamba ni heri ianguke kwenye maji ife, kuliko kuicha sebuleni au chumbani ambako mwenzake amekaa. Katika mazingira kama haya kuwa na formula moja it's almost always impossible.
😅😂Mtakoma kuoa malaya na kuwapachika majina ya wake.
Unataka achague viatu tu???Salaam,
Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.
Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.
Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Salaam,
Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.
Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.
Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Joseph😁😁😁🤭🤭🤭🤭Salaam,
Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.
Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.
Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Jinga kbs ndio maana manazalishwa na kuachwaHakuna ubaya ili mradi tu liwe na maana nzuri.
Mie nimepewa jina la kiume la ex wa mama!Salaam,
Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.
Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.
Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Ulijuaje mkuu?Mie nimepewa jina la kiume la ex wa mama!
Shida!
Heee! Makubwa.Jinga kbs ndio maana manazalishwa na kuachwa
Wanaume tuna wivu sana, ukijua jambo hili direct utaamini wanaendelea kimya kmya.Kwan jina kitu gani mpaka uanze kushindana na mkeo
Sasa kwa mfano Wana ndoa ni Makabila tofauti Mume kachagua jina la kilugha Mfano Masawe na Mke kachagua jina kilugha Wambura sasa hapo si tatizo ?Sawa majina tunatoa wote baba na mama linapigiwa kura litakalo win atapewa hata kama nila ex