Usimruhusu mkeo kuchagua jina la mtoto wa kiume

Usimruhusu mkeo kuchagua jina la mtoto wa kiume

Kila siku huwa nasema, mambo sijui ya gender equality yabaki matangazo ya kwenye majukwaa, mwanamke akiingia ndani lugha iwe moja tu, Baba ndio kichwa cha nyumba, kwenye hili wazee wetu waliweza sana, mke anaweza achishwa kazi au analazimika kuhamia mumewe aliko, ukileta mambo ya democracy sijui tujadiliane mambo ambayo mwanaume unaweza fanya maamuzi na maamuzi yako yakawa sheria. Tusimamie hapo, mwanamke atatii tu
 
Mimi kwa Wanangu sio Mke tu, hata wazazi hawana share ya kuwaita majina, yaani majina niliyoyapanga ndio yanafuatwa, inafika mahali mke anauliza sasa Baba mtoto atayefuata ataitwa nani nafungua Dayari tu😂😂😂
 
Kama unaangaliaga tamthiria za kibongo, pale Jua Kali Mr. Michael alitoa jina la "mwanae" wa kiume, jina lilikua na marehemu baba yake kumbe mkewe pia kapiga copy na mwanaume mwenye jina la baba wa Mr. Michael, so kutoa jina wewe kama baba sio lazima sana lisidanane na mume mwenzio, remember kuna coincidence pia, mfano ndio kama huo wa Jua Kali. Ishi tu
 
Kama unaangaliaga tamthiria za kibongo, pale Jua Kali Mr. Michael alitoa jina la "mwanae" wa kiume, jina lilikua na marehemu baba yake kumbe mkewe pia kapiga copy na mwanaume mwenye jina la baba wa Mr. Michael, so kutoa jina wewe kama baba sio lazima sana lisidanane na mume mwenzio, remember kuna coincidence pia, mfano ndio kama huo wa Jua Kali. Ishi tu
Ukiita wewe likifanana hakuna tatizo, shida ni ukimpa ruhusa then akaita jina la ex
 
Salaam,

Baadhi ya wanawake, wanatabia ya kuwapa watoto wao wa kiume, jina la ex wake pendwa, ambae aliamini ndo mwanaume wa ndoto zake.

Hivi karibuni ex wangu wa kitambo alinambia kapata mtoto wa kiume na kampa jina langu kama kumbukumbu, ukweli niliumia sana hasa nilipovaa viatu vya mumewe.

Ndugu zangu nawaasa msiwaruhusu wake zenu kuita majina watot wa kiume labda liwe jina la baba yake.
Huu ni wasiwasi tu kwa ndoa ambazo mume na mke hawaaminiani. Kwenye ndoa hakuna formula moja ambayo inafanya kazi kwa wote kwa namna ileile. Mimi na mke wangu tulikubaliana kutokuwekeana sheria yoyote, bali tuishi tu kwa upendo, uaminifu na kuheshimiana na ingawa nasi tunakuwa na changamoto zetu, lakini angalau kwa kiasi kikubwa tumeshinda matatizo mengi ambayo wanandoa wenzetu wanakumbana nayo. Moja ya maeneo ambayo tumefanikiwa hasa ni trust. Mimi naweza nikasahau simu yangu nyumbani au mke wangu na kila mmoja akakuta phone calls na meseji zake hazijapokelewa au kusoma. Au wakati mwingine mmoja anaweza kuicha simu yake na kumwambia mwenzake "ikiingia meseji soma au mtu alinipigia simu pokea in case kuna meseji ya dharura inayohitaji jibu la haraka." Baadhi ya wanandoa mmoja akienda kuoga bafuni anakwenda na simu yake, ikiwa na maana kwamba ni heri ianguke kwenye maji ife, kuliko kuicha sebuleni au chumbani ambako mwenzake amekaa. Katika mazingira kama haya kuwa na formula moja it's almost always impossible.
 
Back
Top Bottom