Usimtongoze mwanamke akiwa kwenye shida...

Usimtongoze mwanamke akiwa kwenye shida...

Nanoli

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
3,735
Reaction score
5,974
Habari za weekend wakubwa!

Naandika hii thread nikiwa nimetoka kusikiliza story kwa bint mmoja rafiki yangu, ambae mara nyingi hunishirikisha baadhi ya mambo yake ambayo yanastahili mimi kumsikiliza.........
Huyu dada, anahuzunishwa na kitendo cha shemeji (mpenzi wa rafiki yake wa karibu sana) kumtaka mbunye baada ya rafiki yake huyo kumsogeza karibu shemeji yake kwa lengo la kumsaidia kumpatia Kazi....
Hili ni mojawapo Kati ya story nyingi sana za aina hii na zinazofanana na hii, pindi tu mwanamke akiwa anahitaji msaada kutoka kwa Mwanaume...
Ninachoshauri.... Najua sisi ni watu tunaopatwa na majaribu sana...
Nimeweza vyema kuwa wavumilivu sana kipindi ambacho mwanamke anapitia kwenye shida inayohitaji msaada wako, sisi wanaume hutumia nafasi ya matatizo yake kuwa mtego wa kumtafuna.....
Tena inakua maumivu makali, pale anapojua kuwa uwezo wa kumsaidia unao, lakini hutaki kumpa mpaka umtafune... Hii inaumiza kidogo, na sio kidogo!..
Nikiri wazi kabisa, ktk maisha ya ujana nilishawahi kukutana nayo nikayafanya, lakini nimetubu kwa dhambi hii, sitoirudia tena, inaumiza kwakweli.....
Inakua powa sana, unapomsaidia akiwa na shida zake, ukampotezea japokua moyo umeona ipo sababu ya kumtaka, lakini ukasubiri mambo yake yakae Sawa na moyo wake utoe shukrani kwa yale ulomsaidia,.. Nafikiri hapo hata ukienda kumtafuna, mtatafunana kwani nae anafuraha kuwa na mtu anayejivunia...
Jamani! Tunapoteza wake wema kwa kutokuwa wavumilivu kwa namna hii,. Mke usimtongoze akiwa na shida kwako..... Achana na zile shida za mizinga! Hizo achana nazo [emoji51] [emoji16] [emoji16] [emoji16]..
*Kuna wale wageni hawana ndg hapo mtaani kwako,.. Kakuambia anatafuta ndg yake hajui anakoishi, wewe unatumia fursa ya kumbeba na kumpeleka getho kumtafuna.. Hiyo hapana, sio poa.....

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Wanasema fadhila mfadhili mbuz binadamu atakuudh,mtu unamsaidia leo kwa moyo kesho ndio huyohuyo anakupiga majungu na ukiwa wewe na shida hakujui,so bora umbandue tu uwe umejilipa kudadeki,Tena wakati Ana shida ndio wakati mzuri maana si anakuwa vulnerable bas unambandua hata akija kujanjaruka baadae we ushapigaga
 
Inasikitisha sana...

Ila mara nyingi shida haina adabu wala aibu...

Binadamu akitafuta sana bila mafanikio, yupo tayari kwa lolote na chochote, ili mradi mambo yake yakae sawa...


Cc: mahondaw
 
Wanasema fadhila mfadhili mbuz binadamu atakuudh,mtu unamsaidia leo kwa moyo kesho ndio huyohuyo anakupiga majungu na ukiwa wewe na shida hakujui,so bora umbandue tu uwe umejilipa kudadeki,Tena wakati Ana shida ndio wakati mzuri maana si anakuwa vulnerable bas unambandua hata akija kujanjaruka baadae we ushapigaga
Peleka hiyo picha kwa dada ako akiwa na shida kama hizo.. Atatafunwa na wangapi.. Naye mchumba wako pia akiwa anatafuta Kazi, wamtafune?

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
wanawake tumeumbiwa matesoo..maumivuu

kama wanaume ndo mko hivo wote..mi basii ntachemsha matembele yangu na ugali wangu ntakula siku zinaenda..siyawezi!!
Usikate tamaa, sio wote wako hivyo, lakini wapo

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Hapo kuna mawili unaweza mbandua kabla ujamsaidia na ukaendelea kumbandua baada ya kumsaidia au ikawa mwisho ukishamsaidia au unaweza msaidia then ukamkosa baada ya kumsaidia au ukampata so inategemea we utakachoweza fanya tu kwa kweli m nshatoka club na demu alikua kalewa chakali hanijui cmjui bt nlimpeleka geto kwangu nkamvua nguo nikamfunika shuka tukalala asubuhi kaamka kashangaa kua yupo wapi hapa na mm ni nani na akajiangalia akajikuta yuko salama so akanisalimia akanihoji nikamweleza vyote akaniomba aende kuoga alivorudi akanipa mzigo mwenyewe na akanishukuru kwa yote na tukawa wapenzi for almost 2yrs so inategemea mfano kwa mtu mwingine hapo angembandua uyo mtt huo huo ucku bila kujali chochote na mm mfano asubuh asingenipa mzigo bado ningekua poa tu coz nlijitolea kumsaidia maana kampn yake aliokuja nayo ilimwacha waliondoka na ma bebe zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka hiyo picha kwa dada ako akiwa na shida kama hizo.. Atatafunwa na wangapi.. Naye mchumba wako pia akiwa anatafuta Kazi, wamtafune?

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
Tena kuhusu Hilo ndio usiongee kabisa mbona maboss wanatutombea sana tu huko maofisini kisa hizo ajira,namm mtu akijaa na anavutia napiga kabisa aisee.
 
Tumekuelewa mkuu..

You are damn right with your advice..

We will take it..
 
Watu wengine huwa wanashangaa kwa nini familia zao hazina amani ama watoto hawaeleweki yaani huwasumbua wazazi ama watoto wa kike kutumiwa kama vyombo vya starehe ..
Utalia kwa maumivu na kumbe chanzo ni chozi la mtu uliyeliangusha zamani...

Wengi wanafanya hayo ili kuboost ile hali ya uanaume yaani sijalaza damu lakini kiukweli dunia inazunguka na inawezekana usije kuyalipa wewe ila familia yako....
Na wengine wanafanya hayo na kesho wanapata ujasiri wa kuingia kanisani ama msikitini huku wakiwaona wasioenda ni kama waliopotoka..

Hizo ni laana za kujitakia... This is a world of Karma ,u get what you deserve

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom