Usimtongoze mwanamke akiwa kwenye shida...

Usimtongoze mwanamke akiwa kwenye shida...

Hapo kuna mawili unaweza mbandua kabla ujamsaidia na ukaendelea kumbandua baada ya kumsaidia au ikawa mwisho ukishamsaidia au unaweza msaidia then ukamkosa baada ya kumsaidia au ukampata so inategemea we utakachoweza fanya tu kwa kweli m nshatoka club na demu alikua kalewa chakali hanijui cmjui bt nlimpeleka geto kwangu nkamvua nguo nikamfunika shuka tukalala asubuhi kaamka kashangaa kua yupo wapi hapa na mm ni nani na akajiangalia akajikuta yuko salama so akanisalimia akanihoji nikamweleza vyote akaniomba aende kuoga alivorudi akanipa mzigo mwenyewe na akanishukuru kwa yote na tukawa wapenzi for almost 2yrs so inategemea mfano kwa mtu mwingine hapo angembandua uyo mtt huo huo ucku bila kujali chochote na mm mfano asubuh asingenipa mzigo bado ningekua poa tu coz nlijitolea kumsaidia maana kampn yake aliokuja nayo ilimwacha waliondoka na ma bebe zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa mkuu

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Tena kuhusu Hilo ndio usiongee kabisa mbona maboss wanatutombea sana tu huko maofisini kisa hizo ajira,namm mtu akijaa na anavutia napiga kabisa aisee.
Sawa, hao maboss wenyewe si ndo kama wewe..

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Watu wengine huwa wanashangaa kwa nini familia zao hazina amani ama watoto hawaeleweki yaani huwasumbua wazazi ama watoto wa kike kutumiwa kama vyombo vya starehe ..
Utalia kwa maumivu na kumbe chanzo ni chozi la mtu uliyeliangusha zamani...

Wengi wanafanya hayo ili kuboost ile hali ya uanaume yaani sijalaza damu lakini kiukweli dunia inazunguka na inawezekana usije kuyalipa wewe ila familia yako....
Na wengine wanafanya hayo na kesho wanapata ujasiri wa kuingia kanisani ama msikitini huku wakiwaona wasioenda ni kama waliopotoka..

Hizo ni laana za kujitakia... This is a world of Karma ,u get what you deserve

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu....

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Hapa ndio pale unapoweza kumu-wini yule anayekutolea nje.

Kawaulize wadada wa vyuoni pale "BOOM" linapokata.

Hata Mamba husubiri pale Nyumbu wanapokuja kuja kunywa Maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Aisee we noma.. Haya mkuu!

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Ukute upo na wazazi wako halisi, ukipata mixa ya mama wa kambo msumbufu na anaekunyanyasa hakika kuivua hio chupi hutajiuliza mara mbili.
[emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] nikwambie kitu uyasemayo nisawa ila niheri nivumilie mate so kuliko kuuza uyu wangu mwisho unajikuta unaambulia maradhi halafu Kazi zahivyo hudumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona mambo ya kawaida tu hayo inategemea nani kamuwahi mwenzake. we kuna wanawake wakiwa kwene nafasi zao mungu mwenyew akasome....kuna njemba naifaham inalia hadi kesho imesomesha mchumba adi chuo akiwa uko chuo mchumba kapiga uturn kaolewa na njemba nyngine kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli hiyo ni tabia mbayaaa sana laana tu.ndomana kizazi cha Leo kimeharibika sababu ya laana za vizazi
 
Makampuni gani au taasisi gani hizo hadi ugawe mbunye ndio upate kazi?
 
Ukute upo na wazazi wako halisi, ukipata mixa ya mama wa kambo msumbufu na anaekunyanyasa hakika kuivua hio chupi hutajiuliza mara mbili.
Yeye atavua chupi, lakini jiulize wewe unaemvua, unamtendea haki?

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Makampuni gani au taasisi gani hizo hadi ugawe mbunye ndio upate kazi?
Weeeee! Usiseme hivyo mkuu,.. Hii tabia imeota mizizi mkuu, hatari sana,.. Wadada wanatafunwa na wengine wanaishia kutafunwa tu na Kazi hawapati

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Back
Top Bottom