Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Ahsanteee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii njia safi sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuuu ina maana huyo demu alikuw Hashtuki kuona ame hakiwa na wasap web? Maana ukii conect na wasap web kwenye notifcation bar inaonesha. Ina maane yeye hakutambua hilo?????

Any way nimeisoma had mwsho ipo so interesting, wengine tulijua hilo since under 18. Hawa watu siyo wakuwapa trust. Hadi now tuna cheza nao ngoma moja (ngote ngote)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye sio mtaalam wa simu mkuu hakulitambua hilo nadhani alikua anahisi ni notification ya kawaida tu zinazotokea kwenye simu. Mana ni kweli ukiingia wasap web kwake inaleta notification ila kama mtu sio mfuatiliaji hawezi jua ni kitu gani.

Mtu Mzito HEAVY WEIGHT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…