Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Usimuamini sana mtoto wa kike, kwenye mahusiano kuwa na kiasi

Acha kuandika sana mimi nikiwa Dar mwanamke yupo Bagamoyo tu penzi lazima litakufa itakua wewe uliyehama mkoa?
tenor.gif
 
ila kiukwel me nina dem wangu ananipenda hadi namuonea huruma,, kuna siku nilipata safari kwenda mkoani pamoja na kwamba nilimwambia nikienda simalizi week lakini wakati namuaga alimwaga chozi huku akinitaka nisiondoke alilia sana ila mwesho wa siku alikubali niondoke ila nilimuacha akiwa analia akidai awez kukua mbali na mm
Hao wanaolialia ndio wabaya saaana
Yaani ukimuona analialia, anamtaja Yesu kila mara
Huyo wee nenda tu umdukue utagundua mengi sana
 
ila kiukwel me nina dem wangu ananipenda hadi namuonea huruma,, kuna siku nilipata safari kwenda mkoani pamoja na kwamba nilimwambia nikienda simalizi week lakini wakati namuaga alimwaga chozi huku akinitaka nisiondoke alilia sana ila mwesho wa siku alikubali niondoke ila nilimuacha akiwa analia akidai awez kukua mbali na mm
We jamaa aisee chunga sana.
 
Siku ya kwanza nimefuma ujinga kwenye simu,halaf nikakausha, nikamuuliza maswali ya kumchora tu; ilikuwa psychological experiment ya kutosha ya kugundua kuwa wanawake ni cold hearted liars. Tena ukizingatia alikuwa mpole, classic, strict na wife material, basi hiyo siku nilinyoosha mikono. Nikasema ujanja wangu wote wa kuwachezea hawa viumbe, kweli siwajui.
That day, a monster was born.
 
Back
Top Bottom