miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
Acha kuandika sana mimi nikiwa Dar mwanamke yupo Bagamoyo tu penzi lazima litakufa itakua wewe uliyehama mkoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuandika sana mimi nikiwa Dar mwanamke yupo Bagamoyo tu penzi lazima litakufa itakua wewe uliyehama mkoa?
Hao wanaolialia ndio wabaya saaanaila kiukwel me nina dem wangu ananipenda hadi namuonea huruma,, kuna siku nilipata safari kwenda mkoani pamoja na kwamba nilimwambia nikienda simalizi week lakini wakati namuaga alimwaga chozi huku akinitaka nisiondoke alilia sana ila mwesho wa siku alikubali niondoke ila nilimuacha akiwa analia akidai awez kukua mbali na mm
Kweli mkuu, maana kile kikosi alichokua nacho wengine ni wacheza mpira wazuriDah nimecheka sana eti angeweza kuchukua world cup[emoji38] [emoji38] hawa watu sio kabisa yani dah.
Kweli mkuu, bora udukue ujue kipi ni kipiWale mnaoogopa kudukua na kuujua ukweli ina maana mpo tayar kuja kuoa mke ambaye siku moja atakubambikizia mtoto,ukimwi na laana zingine.Mm kwangu nadukua hovyo hovyo.na nikijua napiga chini fasta
Hii ipoo, tafuta nyuzi zipo zilizoeleza vizuryMi ningepata hata ya sms Jana nimeangaika Google mpaka simu ili surrender ikazima chaji kumi na robo alfajiri naomba nipatiwe hii elimu
But number never liesHata wanawake nao wanasema usimuamini mwanaume na uwe na kiasi....
Women lies, men lies
Ipo ya kwenye simu.Ila whatsapo web hauiweki kwenye simu mzee whatsapp web ni ya kwenye PC
Aisee itabidi tufungue ofisiTupo chama kimoja.
We jamaa aisee chunga sana.ila kiukwel me nina dem wangu ananipenda hadi namuonea huruma,, kuna siku nilipata safari kwenda mkoani pamoja na kwamba nilimwambia nikienda simalizi week lakini wakati namuaga alimwaga chozi huku akinitaka nisiondoke alilia sana ila mwesho wa siku alikubali niondoke ila nilimuacha akiwa analia akidai awez kukua mbali na mm
Kajaribuu kutoa somo tuu babDuh umeandika gazeti. Nadhani ndio demu wako wa kwanza huyo