Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 885
- Thread starter
- #201
Kweli aisee nishajifunza kitu. Siwezi kumng'ang'ania tena mtoto wa kike akimute na mimi na mute mazimaDu umeandika kwa mtirirko mzuri sana .hii siyo kamba ,ila we jamaa una element za uvumilivu sana.utafika mbali mkuu take it from me. Yaani mwanamke aninyamazie week halafu nendelee kumtafuta huyo labda tumefunga ndoa na tuna watoto.lakini hawa wengine akizingua tu.unadelete namba yake una save ya mwingine