Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Niko imara mkuu ukizingatia simwelewi tangu mwaka huu uanzeInabidi uwe jasiri maana mengine unaweza ona badala yakufutilia unakauka na simu mkononi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko imara mkuu ukizingatia simwelewi tangu mwaka huu uanzeInabidi uwe jasiri maana mengine unaweza ona badala yakufutilia unakauka na simu mkononi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yani kwenye iyo application inatoitwa whats web. Na pia usilog out, kama ukilog uot itabidi uanze kudukua upya.Oky asantee
Duh Mikate ya kikinga na vinywaji utatumia nini apo mana kukata najua litatumika pangaNdio
Yaani acha kelele hizo ila akifanya mwanaume ni kidume [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ha ha ha safi sana huyo dada mana wanaume mnapanga mademu wengi tu nyie mkipangwa kelele. vumilieni
Mkiwa waaminifu wote ndiyo inapendeza sana, sio 1 awe mwaminifu mwingine mchepukaji mbaya akija kulipa ni inauma kweliNdo ivyo mkuu tena bora ujue demu anakucheat kabla hujaoa aisee mke nadhani ndo anauma zaidi, inabidi twende nao sawa ila ukishaona dalili bora kaa pembeni mapema
Maumivu hayo, hivyo anajipoza moyo wakeUna kipaji cha uandishi mkuu
AsanteUna kipaji cha uandishi mkuu
Kama umeyavulia nguo , chochote ukutanacho pokea tuNiko imara mkuu ukizingatia simwelewi tangu mwaka huu uanze
SawaKama umeyavulia nguo , chochote ukutanacho pokea tu
kama unajijua huwezi kuachana nae usimdukueNiko imara mkuu ukizingatia simwelewi tangu mwaka huu uanze
Usimsapoti mkuu sio vizuriYaani acha kelele hizo ila akifanya mwanaume ni kidume [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeshajibu mkuu, nataka kupigia mstari tu kwa yanayoendeleakama unajijua huwezi kuachana nae usimdukue
Unaanzaje sasa kumwamini mwanamke?
Mimi nawapenda sana wanawake ila kuwaamini hapana na sitokuja kuwaamini..
Shida inakuja apo ukiwa mwaminifu mwenzio anakucheatMkiwa waaminifu wote ndiyo inapendeza sana, sio 1 awe mwaminifu mwingine mchepukaji mbaya akija kulipa ni inauma kweli
Ngoma drooooHata wanawake nao wanasema usimuamini mwanaume na uwe na kiasi....
Women lies, men lies
Hapo ndipo shida inapoanzia unaumia sana kwakweliShida inakuja apo ukiwa mwaminifu mwenzio anakucheat
Acha kuandika sana mimi nikiwa Dar mwanamke yupo Bagamoyo tu penzi lazima litakufa itakua wewe uliyehama mkoa?