Usimuoe binti kwa sababu tu umemtia mimba. Usioe kwa huruma, hakikisha unaona mtu anayefurahisha hisia zako

Usimuoe binti kwa sababu tu umemtia mimba. Usioe kwa huruma, hakikisha unaona mtu anayefurahisha hisia zako

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Watu wengi wanashindwa kutofautisha mahusiano na mapenzi.

Siyo kila uliye naye kwenye mahusiano ana mapenzi na wewe. Mapenzi (love) hupatikana kwa mtu au kitu chochote kinachofurahisha hisia. Love is obtained from a person or thing that makes your emotions happy.

Mapenzi hupatikana hata kwa vitu siyo lazima awe mtu. Ndiyo maana utasikia mtu anakwambia mm napenda sana muziki. Na huko Ulaya Kuna watu wanapenda wanyama.

Kwa hiyo mahusiano yanaweza kuchagizwa na upwiru tu. Halafu ktk kuukata upwiru mimba ikaingia.

Ikitokea mimba katika hali hii usimuoe binti kama huyo. Na wewe binti usilazimishe kuolewa na mwanaume ambaye amekuzalisha kwasabb ya kukata upwiru. Hii itakuwa siyo ndoa, itakuwa ndoano.

HITIMISHO
Tafuta mtu (mke/mume) ambaye ukiamungalia tu hisia zako zinafurahi. Utajikuta tu unataka kumpa hela, kumnunulia zawadi, kumfunulia papa n.k.
 
Kuna bahati mbaya though mtoto haji duniani bila mpango maalumu.
Kosa kubwa hufanyika ktk maamuzi ukianza kufikiri haya ya kwamba mtoto kaja kwa kisudi maalumu
 
Wa hivi wanaelewa kuwa mtotnt kapaikana wakati wa kukata upwiru tu, wala siyo mapenzi.

Ni wale wasiosukumwa na ugumu wa maisha. Wako vizuri kimaisha. Anachotafuta ni tru love.
Kuna wengine hawataki kuolewa na huyo aliemtia mimba
 
Sidhani kama yana muongozo hayo madude yenye unaongelea

Zima tu data ulale
Muongozo upo. Kama kila mtu akiongozaa na hisia ndani ndoa haitakuwa na shida. Tatizo ni kwamba unakuta kati ya wawili wanaotaka kuoana, mmoja anafeki. Mmoja anasukumwa na fedha, vitu, jina la familia na umri kusonga .
 
HAKUNA MWENYE KUFURAHISHA HISIA KAMA MCHEPUKO MKUU ACHA KABISA
Tatizo mchepuko anafeki. Yuko kwa ajili ya huduma yako ya maisha yake ili yasonge.
 
Anajua kabisa hamjapanga kuwa na mtoto

Anajua yupo siku za hatari

Bado anachanua mapaja unamtia mimba

Nani wa kulaumiwa kama si yeye

Acha akomae na u-single maza
 
Hiyo inaweza kutokea mkuu. Lkn ikitokea isiwe sababu ya yeye kuolewa na aliyemtia mimba
Upo sawa. Ila usiache kumtunza mwanao na huyo binti usimdanganye danganye ili umtumie umuache tena. Esp anapokuwa anajaribu kukusahau.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom