Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nayo ni sababu japo zipo sababu zaidi ya hiyo.Wa hivi wanaelewa kuwa mtotnt kapaikana wakati wa kukata upwiru tu, wala siyo mapenzi. Ni wale wasiosukumwa na ugumu wa maisha. Wako vizuri kimaisha. Anachotafuta ni tru love.
Uko sahihi kabisaKuna Mzee Mmoja Aliniambia Usioe Mwanamke Kwa Kumuonea Huruma Oa Kwa Kuwa Umeona Umependezwa Nae Vizuri.
Inaweza kutokea ni kweli, ila angalau basi uwe muwazi kwa binti, usimtumie tumie. Usimdanganye danganye. Kuna wanaume tuna roho mbaya, kila tunapomuona binti anajaribu kumove on tunaingilia, tunamtongoza upya, binti anajionea sababu tayari mna mtoto basi anarudi mazima halafu akitumika siku mbili tatu anaachwa tena anaumiaa mpaka anakuwa sugu au mhuni au anapata tatizo la saikolojia anashindwa kukusahau hata akipata mtu inashindikana.Kuna bahati mbaya though mtoto haji duniani bila mpango maalumu.
Huyo wa kuachana nae tu. Ila mkubalieane kuhusu malezi.Kuna wengine hawataki kuolewa na huyo aliemtia mimba.
Hilo ni la msingi sana.Huyo wa kuachana nae tu. Ila mkubalieane kuhusu malezi.
Hapa kwenye malezi ni kuwa makini. Unaweza kutoboka mifuko mpk utembee uchi.Huyo wa kuachana nae tu. Ila mkubalieane kuhusu malezi.
Usimpe binti mimba usiyemhitaji awe mama wa watoto wako.
VAA CONDOM, MANII NI YAKO, MWANAMKE HUMTAKI, RISK ZA NINI? UTAZAA NA WANGAPI?Hakunaga mwanaume aliyewahi na atakayeweza kumpa mimba Mwanamke bila Mwanamke mwenyewe kukubali.
Ishu ya mimba ipo chini ya utawala wa Mwanamke...
VAA CONDOM, MANII NI YAKO, MWANAMKE HUMTAKI, RISK ZA NINI? UTAZAA NA WANGAPI?