Usimwamini mtu anaenyoa kipara au anayekunja mikono ya mashati

Utafiti wa kina unahitajika...
 
Najaribu kutafuta uhusiano was maoni Yako, ila huenda nitakuelewa baada ya kuyafanyia utafiti
.
 
Hapa yenyewe nmekunja shati, Je nimekukosea nn ndugu mwandishi hahahaha
 
Madhara ya kuwaza kwa kutumia makalio inaonekana dhahiri.
Yule shetani ndio alikuwa anafikiri kwa kutumia makalio ndio maana alikuwa ni katili lilopitiliza huku likijifanya kumtanguliza Mungu mbele.
 
Alievaa shati la mikino mifupu na aliekunja shati tofaufi yao nin?
Tuwaamini maraster wenye nywele ndefu zisizokatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…