Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una shida inakusumbua wewe sio bure.Hili kundi sio la kuamini kabisa
Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.
Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.
Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.
Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.
Vipi mkuu una upara nini😂😂😂😂😂Vipi umemaliza au Bado unaendelea?
Wenye upara utawajua TU😂😂😂😂😂Hii tabia ya kuchafuana sio poa kichwa changu unanipangia ninyoaje kwa kuwa we una panki
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
😂😂😂😂😂😂😂😂Una shida inakusumbua wewe sio bure.
Mwambie huyu dogo aache madharau[emoji34][emoji34][emoji34]
Kwani kumtaja MUNGU ktk mambo muhimu ni vibaya??.Wabaya zaidi ni wale wanapenda kumtajataja Mungu ili kuonesha wana hofu ya Mungu hawa wengi wana mambo machafu sana nyuma ya pazia.
Hilo hilo mkuuBahati mbaya leo nimevaa t-shirt, Ila ingekuwa long sleeves ningeshakunja mda sana!! Napenda kukunja, japo sinyoi para...sasa sijui nipo kundi gani hapa.
Hatari zaidi ni FX traders wanaodai wana pesa nyingi lakini wameshindwa kununua sox wanavaa masuruali bila soxHili kundi sio la kuamini kabisa
Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.
Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.
Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.
Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.
Pole kwa yaliyokukuta mwachie mungu atakulipiaHili kundi sio la kuamini kabisa
Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.
Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.
Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.
Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.