Usimwamini mtu anaenyoa kipara au anayekunja mikono ya mashati

Usimwamini mtu anaenyoa kipara au anayekunja mikono ya mashati

Hua nakunja mikono ya shati kwakua sipendi zile kingo kuchafuka hua inakua ngumu kuzifua.

Upara hua nanyoa kwakua kwangu mimi simu inafanyiwa factory reset ila mimi kunyoa upara ndiyo factory reset yangu.
 
Hili kundi sio la kuamini kabisa

Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.

Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.

Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.

Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.
Una shida inakusumbua wewe sio bure.
 
Hii tabia ya kuchafuana sio poa kichwa changu unanipangia ninyoaje kwa kuwa we una panki??

[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Wenye upara utawajua TU😂😂😂😂😂
Mnataka tukosane sasa 🤣

maxresdefault.jpg
 
Bahati mbaya leo nimevaa t-shirt, Ila ingekuwa long sleeves ningeshakunja mda sana!! Napenda kukunja, japo sinyoi para...sasa sijui nipo kundi gani hapa.
 
Mimi simwamini mtu yoyote anavuta sigara, bora kidogo anaye vuta bang😂
 
Bahati mbaya leo nimevaa t-shirt, Ila ingekuwa long sleeves ningeshakunja mda sana!! Napenda kukunja, japo sinyoi para...sasa sijui nipo kundi gani hapa.
Hilo hilo mkuu
 
Hili kundi sio la kuamini kabisa

Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.

Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.

Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.

Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.
Hatari zaidi ni FX traders wanaodai wana pesa nyingi lakini wameshindwa kununua sox wanavaa masuruali bila sox
 
Hili kundi sio la kuamini kabisa

Ukiona mtu hadi anafikia hatua anatoa nywele zote kichwani yaani yeye mwenyewe haziamini hata nywele zake ujue hapaswi kuaminiwa hua ni waongowaongo sana.

Na ukiona mtu anavaa shati mikono mirefu na anakunja kama Obama vile hawa watu kimbia kabisa mbali hawafai kuaminiwa yaani wanaujanja ujanja sana halafu vitu vizito kwao havina maana wanapenda vitu vyepesivyepesi tu.

Ukithubutu kumwamini mtu anayenyoa upara hadi hapo jiandae kupotea na kama unatarajia akuelejeze njia basi jua utaachwa njiani na yeye ataondoka zake ubaki peke yako maana hawaonagi shida hawa kukuacha peke yako.

Mtu haamini wala kuthamini nywele zake utategemea wewe ndio akuthamini kwa kipi labda hivi huwezi kujiuliza tu hadi hapo.
Pole kwa yaliyokukuta mwachie mungu atakulipia

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada wewe ni bure kabisa.Ama hauna hela leo,ama umegombana na mwenzi wako na una stress. Ulivyovieleza havina uhusiano.Kwahiyo mtu akinyoa nywele zote anakosa uaminifu muda huo,au kukosa uaminifu ni matokeo ya vijitabia na mienendo unayopitia kadri unavyokua?
 
Kwenye kiingerereza 'roll up your sleeves'ni kufanya kazi. Ila para halifanyi kazi ni janjajanja tu.
 
Mtu anakuambia ukweli kuwa zile CRANE zinazohitajika pale ujenzini ni zile IMMOVABLE na ziko njiani kuletwa.....bado tu unang'ang'ana kuusema UPARA na MASHATI YA KUKUNJA😳😳😳😳😳

Hii kweli si ARGUMENTUM AD HOMINEM?!!!
 
Back
Top Bottom