Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Polesana
 
Ni ulokole Gani huo unaousemea?? Najua ulokole huwa ni kwa wale waliookoka ,yaani ambao waliomkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yao! Na wanaendelea kuyaishi maagizo ya Mungu kwa kulishika na kuliishi Neno lake!! Ninyi mnafanya Uasherati halafu bado mnajiita walokoke!! Msituharibie Sifa bhana!!
Halafu kwa Mtiririko wa Uandishi wako,inaonekana bado una utoto!
 
aliofuta koment ya mwisho ya ulokole airudishe nlitaka ku like
 
Kwa kifupi sana DAWA CHUNGU NDIO TIBA usikaze shingo achana nae na umshkru sana Mungu kwa hilo alafu mpe muda utaongea ukikaza shngo atazid kukuona boya na kukuendesha anavyotaka koz anajua unampenda sana
 
mkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
Mtu anayependa dini yupo radhi aue au afanye maasi yoyote kulinda dini yake. Unaponiambia mtu anapenda dini huyo namuogopa sana kwasababu dini huleta vita wakati mwingine.
Mtu anayempenda Mungu huyo ndiye anakuwa na hofu na muda wote hutenda mema ili awe karibu na Mungu. Walevi, wachoyo, walafi, watenda dhambi wote hujificha kwenye kimvuli cha dini ili aonekane mwema. Kiufupi tu, hapo hauna mwanamke wa kuoa. Unateseka kabla hata hamjaoana, je ukimuoa si ndiyo utateseka sana.
Mwanaume ukitaka kuishi kwa furaha na kwa amani tumia akili na siyo hisia. Hisia zinadanganya sana.
Mtu kukusaidia siyo kigezo cha kuwa anakupenda sana.
 
Me naona nyote nyie wawili mna matatizo. Wewe haueleweki ni mtu wa aina gani na unaonekana ni mchafu wa mwili na hauna mvuto.

Upande wa pili huyo mchumba wako nae ni kama mwezi mchanga yaani waluwalu. Wale mabinti ambao ukikaa nae kuna muda una mtazama unajiuliza hivi huyu ni mzima kichwani zimetimia na zipo sawa sawa kabisa?
 
Siku zote nyoka ni mpole sana na hung'ata kwa upole tu. Ika sumu yake sasa, hadi kaburini unaweza ingia. Pole
 
hii ishaletaga igomvi familia moja jina kapuni kuna dada mmoja alieshimika sana ajabu ikaja gundulika analiwa tigo tena sio gest wala nn jumba bovu
Aisee balaa inaelekea hawa wanawake wanapenda sana kifukuliwa mitaro yao
 

Hujitambui
 
Nimeshindwaaa kuimaliza, maana kila nikisoma naona kuna story ndefu kidogo....

Ila poleeeee ×3
 
Ishara zote hizo ulivumilia??, Mimi ningekuwa nilimuacha siku nyingi
 
Tafuta hela kisha ndio uendelee na mapenzi. Kijana tafuta hela utanishukuru baadae. Hasira na hayo maumivu weka kwenye kutafuta hela
 

Neno tuachane ndiyo lililokuangamiza kwanini ulitamka hilo neno?kumbuka maneno huumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…