nilimwelezaga kuhusu ilo aliniambia yy apendi kumeza mate nisimlazimishe lkn mkuu upo sahihi kwa kiasi fulan sisi wanaume tukiingiza pale chin akil zinakuwa fupi kidogoHuo uandishi ni stress ama ni nini. Anyway umeshaachwa ndugu. Kifupi pambana na maisha yako, jiweke vizuri, tafuta mwanamke wa ndoa si huyu pasua kichwa.
Hakuwahi kukupenda from day one. Alikupa kakitu kake kubembeleza misaada ulokua unampa. Nikiwaza na kuwazua si ajabu muda anakukubalia kwenda guest house ni muda ambao ulikata baadhi ya vijimsaada. Mkienda hana ham na wewe, anaona kinyaa kwa kiss lako. NITAANDIKA MENGI HAPA ILA CONCLUSION NI HUJAWAHI KUPENDWA BRO. Usiende kumuua. Endelea na walio serious.
hilo kweli mkuu lkn mpka nimedumu nae miaka mitatu huyu alitrend snMwanamke anayekupenda kweli hana haja ya kukwambia anakupenda, uso wake tu mkionana na tabia zake zitazungumza yote.
Kudumu siyo tatizo, mnaweza mkadumu hata miaka kumi lakini wewe ukawa unalazimisha upendo na kutumia nguvu nyingi mapenzi yasonge mbele.hilo kweli mkuu lkn mpka nimedumu nae miaka mitatu huyu alitrend sn
Nashukuru mkuu kwa ushauri wakoPole mkuu naona moyo uko tempered kiasi kwamba umeshindwa pangilia mwandiko. Mapenzi ni janga kubwa sana kuliko unavyodhani, Maana unaingia makubaliano na mtu ambae hujui moyo wake Wala mawazo yake. Tulia jipe moyo mkuu tafuta maisha mwanamke utapata tu tena mkalii.
Huyo duu ameshapata mwanaume mwingine alikua anatafuta tu sababu ya kukuacha. Lakini pia hakua anakupenda ndio maana hakutaka kujamiiana na wewe nadhani utakuja kuelewa badae kidogo ukikaa ukatafakari vizuri.
Unaendelea kuniudhi!mkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] KheeeeeUnaendelea kuniudhi!
NakaziaMapenzi yenye red lights nyingi ni mapenzi yanayoashiria kutodumu, get that through your head young man.
duh !!!! mkuu weka full story kidogo ili namimi ni compare na majanga yanguKuna lilokole flani lilinipigaga chini likaolewa na jamaa flani eti amegraduate jalalani sociology. Sasa hivi niko ulaya ni full kunisumbua . Jamaa yake wa "sosho" choka mbaya anajipa Matumaini tu atatoka siku moja kwasababu ni msomi ana difrii ya sosho.
Sada huyu demu akili ikanijia lll
mkuu kama kweli vileAisee blaza, cha kwanza rudi shule.. af unaendelea kuboronga.
Hongera kwa kubwatizwa, sqsa hv wewe ni mwanaume kamili.
nipe gwala nimekusoma snMdogo wangu muda ukipita utagundua unapokosea halafu badala ya kuumia itakuchekesha, Kwa sasa hivi usimtafute huyo binti sio mwaminifu, ww ni chaguo la pili au la tatu kwake. Kuna watu hapo juu yako ila inawezekana hana uhakika nao. Kuachwa ni jambo la kawaida usiliendekeze sana, tafute mwingine halafu fanya kazi usiwe bingwa wa loverlover na kulia lia ww ni mwanaume ujasiri na kazi ndo identity yako.
Mbona kawaida tuu kuachwa wewe kiazi , tafuta demu mwingine uendelee na maisha kunguru wewe
Mbona kawaida tuu kuachwa wewe kiazi , tafuta demu mwingine uendelee na maisha kunguru wewe
[emoji28]Kama ndo upo fluctuated basi haina haja ya kupendwa tena wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaendelea kuniudhi!