Usingekuwa na maringo ungekuwa umeolewa muda mrefu, ona sasa unajuta hata wa kukutongoza tu hakuna na umri umesonga

Sasa mkuu Tlaatlaah mbona uzi wa Mad Max wa kuachwa na mpenzi wake, jana Wadada wa JF waliupeleka sana kuliko huu uzi wako ?🀣🀣🀣
si unajua tena,

kuachwa ni shughuli pevu, mbaya zaidi na yule uliempenda,
wewe unakonda yeye ananenepa kwa mawazo..

inafikia kipindi hata marafiki zako unawaona wabaya πŸ’
 
busy wanatafuta ndoa au wanahudumia ndoa?

kumbuka,
kujiandikisha kwaajili ya uchunguzi wa serikali za mitaa mwisho jpili πŸ’
Uchunguzi wa nini? Saratani ya kizazi au 😹😹😹
 
Mi mwenyewe nyuzi zangu hazinaga wateja kabisa, ndomaana sitoagi nyuzi. Niliwahi kutoa nyuzi mbili tu.
acha uchoyo andika tu, zitasaidia wataoka soma na utakua umetekeleza wajibu wako vizuri sana

ni kawaida tu ikiwa hajasoma leo atasoma next month πŸ’
 
Mpenzi wangu hata akidondosha kibakuli ataniambia sembuse hio samaki aliyopika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…