Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Siku zinakuja utatamani kuyasoma haya na haitawezekana na utatamani sana ukomenti lakini haitowezekana. Mheshimu sana aliye andika huu uzi. 🤣🤣🤣Punguza ushauri watu tuko busy 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zinakuja utatamani kuyasoma haya na haitawezekana na utatamani sana ukomenti lakini haitowezekana. Mheshimu sana aliye andika huu uzi. 🤣🤣🤣Punguza ushauri watu tuko busy 😹😹
😹😹😹 Sitaki kusoma wala kushauriwaSiku zinakuja utatamani kuyasoma haya na haitawezekana na utatamani sana ukomenti lakini haitowezekana. Mheshimu sana aliye andika huu uzi. 🤣🤣🤣
Kinyozi kapata wembe mpya😄😄😄Jiwe limerushwa ukisikia aiiih! ujue tayari...
Pekee yangu ???Kwender 😹😹😹
😹😹😹 bday lini nilishasahau tarehe aisee mtaniacha nisipokuwa makini, ngoja nimuulize sis JoaPekee yangu ???
Si tutaenda wote Zenji ? 🤣🤣🤣
Hiii we boya kweliiiii 🤣🤣🤣😹😹😹 bday lini nilishasahau tarehe aisee mtaniacha nisipokuwa makini, ngoja nimuulize sis Joa
msukule huku hairuhusiwi, mnakuja kufanya nini aise? alaaa!Mganga naona unawapasua VIREDIO.
KE Iko na mdomo haioleki Braza Yani Muda wowote kitawaka.
dah,Kitu pekee ambacho wanawake hawakijui na wakikijua watakua wenye amani ni kua , mwanamme huuchoka uchi wako baada ya siku 90, baada ya hapo kinachompa hamu ya kua na wewe ni tabia zako , hizo zitaamua atafute mwanamke mwingine au iweje , na anaweza kua na wewe kumbe ashakuacha kitambo Sana , mwanaume anaweza kuomba Hadi msamaha lakini hua ni siku 21 ushatoka kichwani mwake
Uzi hautembei kabisa 🤣🤣🤣msukule huku hairuhusiwi, mnakuja kufanya nini aise? alaaa!
Ila maisha bana dah,
ukiwakuta wakiwa kwenye nyumba za ibada kwenye maombi na maombezi, utadhani ni watakatifu malaika wameshuka toka mawinguni...🐒
Ooh aise,Mkuu maisha hayana formula, wapo wengi pia wasio viburi bt wamekosa ndoa na wanazitafuta makanisan/kalumanzila
Wachangiaji wa ule uzi wa Mad max leo siwaoni humu 🤣🤣🤣uzuri ni kwamba unasambaa kwa kasi na unatembea na biti mule mule 🐒