Usingekuwa na maringo ungekuwa umeolewa muda mrefu, ona sasa unajuta hata wa kukutongoza tu hakuna na umri umesonga

Usingekuwa na maringo ungekuwa umeolewa muda mrefu, ona sasa unajuta hata wa kukutongoza tu hakuna na umri umesonga

Mganga naona unawapasua VIREDIO.
KE Iko na mdomo haioleki Braza Yani Muda wowote kitawaka.
msukule huku hairuhusiwi, mnakuja kufanya nini aise? alaaa!

Ila maisha bana dah,
ukiwakuta wakiwa kwenye nyumba za ibada kwenye maombi na maombezi, utadhani ni watakatifu malaika wameshuka toka mawinguni...🐒
 
Kitu pekee ambacho wanawake hawakijui na wakikijua watakua wenye amani ni kua , mwanamme huuchoka uchi wako baada ya siku 90, baada ya hapo kinachompa hamu ya kua na wewe ni tabia zako , hizo zitaamua atafute mwanamke mwingine au iweje , na anaweza kua na wewe kumbe ashakuacha kitambo Sana , mwanaume anaweza kuomba Hadi msamaha lakini hua ni siku 21 ushatoka kichwani mwake
dah,
aise umeshusha nondo nzito ya maana sana aise, tena kwa kwa kifupi sana na kwa lugha rahisi sana 💪👊👊
 
Mkuu maisha hayana formula, wapo wengi pia wasio viburi bt wamekosa ndoa na wanazitafuta makanisan/kalumanzila
Ooh aise,
wasijifungie ndani, watoke nje na kujumuika kule ambako vijana wenzao wako, na kwa Neema na baraka za Mungu watafanikiwa kupata wenza wao 🐒
 
Back
Top Bottom