Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sisomi BibliaHusomi biblia wala hujawahi kuona hizo rangi angani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisomi BibliaHusomi biblia wala hujawahi kuona hizo rangi angani?
Dkt. ZERO-10, ndio mnipe hicho cheona sisi humu jf tuangalie baadhi ya watu ambao wametoa michango mingi humu jamii forums tuwape udaktari wa heshima.!
View attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Nasemaje, haters mwaka huu mtadondokwa na pedi njianiMagufuli hakuwa mtu anayependa kusifiwa ! Alijua watu wengi huwasifia watawala sifa za unafiki ili waendelee kutawala! Magufuli aliwahi kusema hata kupendwa hahitaji mtu wa kumpenda kwani akipendwa na Janet inatosha sio lazima kupendwa na watu wote!
Lakini kwa mama yetu yaonyesha anapenda sana kusifiwa!
Ndo mana nchi ilimshinda mana alikuwa na wivu wa kike na gubu juu. Uongozi haulo hivyo. Uongozi siyo ugaidiView attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Mhhhh !Rais wa kwanza kupewa udaktari wa heshima ni mh Jakaya.
Udaktari wa Magufuli ulikuwa wa darasani kama walivyo wasomi wengine lakini kwasasa ambiwa hata mbunge msukuma mwenye elimu ya la darasa la saba na yeye ni Dr Joseph Msukuma.
Hii ni ajabu kwelikweli itabidi na sisi humu jf tuangalie baadhi ya watu ambao wametoa michango mingi humu jamii forums tuwape udaktari wa heshima.!
Hii ndiyo aina ya vijana Taifa linatengeneza! Inasikitisha sanaNasemaje, haters mwaka huu mtadondokwa na pedi njiani
Lakini Wewe Jamaa Yaani Haa Haa MwehuMaza anapenda sifa kumzidi hata yule mwehu wa CHATU
Sawa Dr. Nyerere, HONGERA kwa mapinduzi Tanzania ni nchi namba 1 kwa uchumi Duniani 👏👏👏Ndo mana nchi ilimshinda mana alikuwa na wivu wa kike na gubu juu. Uongozi haulo hivyo. Uongozi siyo ugaidi
Magufuli asingeweza kupata zawadi km hiyoView attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Sasa kama mtatokwa na pedi kwa roho mbaya tusisemeHii ndiyo aina ya vijana Taifa linatengeneza! Inasikitisha sana
Lakini angalau haikuwa ya Sifa ilikuwa Phd ya darasaniHata huyo Magufuli wako hiyo PhD yake ni ya mchongo,watu walivyoanza kumzongazonga aeleze vizuri wengine wamepotea hadi leo hata hawajulikani walipo.
This is a whole new crappy hating levelView attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Alivyokuwa anajenga uwanja was ndege wa Kimataifa Chato haya matatizo uliyoyataja hayakuwepo? Uwanja sahvi wanaanikia dagaa. Tuliza yako Magu ndio alikuwa wa hovyo kabisaView attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Mwanamke na mambo ya Maumaua damdamView attachment 3225878View attachment 3225879
Wakati Rais wa nchi anakula maisha na private jet, Na kufurahia tuzo zisizokuwa na tija kwa watanzania ambao wengi bado wanaishi chini ya dola moja, jiji la Daresalaam lenye shule za sekondari za umma 179 zenye wanafunzi 250,000 zina vitabu elfu 82 tu vya somo la lugha ya kiingereza, somo la Civics lina vitabu elfu 50 pekee.
Kuna matundu ya vyoo yasiyozidi 4,000, shule zote zilizopo kwenye manispaa ya Ubungo zina laptops 19 tu, na zaidi ya wanafunzi 50,000 hawana meza wala kiti cha kukalia. Kesho matokeo yakitoka tukiambiwa kwenye darasa la wanafunzi 500 shule ya sekondari Taifa asilimia 95% wamepata division four na zero.
Cheo cha urais pekee kinatosha kumpatia hata mtu 'mwembamba' kuitwa 'mheshimiwa mnene' au mtu mfupi kuitwa 'mheshimiwa mrefu' na sifa zingine kedekede ambazo ukiamua kupachikwa utapachikwa tu kutokana na cheo chako, utaitwa Dr. hata kama haukwenda shule! Lakini ukiwa kama kiongozi wa kweli, unapaswa kujiuliza hato yote yana manufaa gani hali ya kuwa bado wananchi wako ni masikini?
Hawana uwezo kupata milo mitatu kwa siku? Ukiwa kiongozi ambaye si 'humble' utakumbatia hizo tuzo na kupokea sifa mwishowe zinakupofusha na kulewa madaraka. Kiongozi wa aina hii hafai katika jamii za kiafrika.
Nyerere, Mkapa kina Mandela katika uongozi wao kama wangetaka wangepokea zawadi, tuzo, vyeo vya Phd hata uprofesa pia. Lakini hawakutaka, kwa sababu zingekuwa na maana gani hali ya kuwa nchi zetu bado zina changamoto nyingi?
Pia soma
- Rais Dkt. Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
Angalau uwanja ulionekana, uko wapi huo uwanja wake wa sasa?Alivyokuwa anajenga uwanja was ndege wa Kimataifa Chato haya matatizo uliyoyataja hayakuwepo? Uwanja sahvi wanaanikia dagaa. Tuliza yako Magu ndio alikuwa wa hovyo kabisa
Tuliza makalio we bwege. Unaandika upumbavu. Hujui maana ya zawadiTuzo zina manufaa gani kwa wananchi wa huko tandahimba mtwara?