Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

Majimama kwa kupenda vijana wafogo ndo yenyewe siku hizi. Wenyewe wanasema wanataka "Show! Show!"

Kuna dogo anaitwa mshamba_hachekwi ndo mambo yake hayo na yeye 😀
acha wivu
 
eh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
Ukija umpe kijana utelezi, tena umpe yote usimbanie... mamipira ni mambo ya kizamani 😒.... we mpe tu! Ale mpaka asaze
 
Ukija umpe kijana utelezi, tena umpe yote usimbanie... mamipira ni mambo ya kizamani 😒.... we mpe tu! Ale mpaka asaze
 
acha wivu
😂😂😂 FALA WEWE!
 
Wewe niachike akuu kwa lipi??
Ligi ya kubishana maneno yasiyo na tija kwangu ni marufuku.
uwe na siku njema mrembo.
Ndo mpe kwanza BUKU,ameomba kwa member mmoja hivi,muulizie kama kapata.Ila jamaa jasiri sana,mi nikiwaga sina hela,hata kuwazia wadada siwaziagi.Mcheki mwamba.
 
Wanaume tukiwa tunaongea usipende kuingilia mazungumzo ntakukata makofi sasa hivi
WE LIA TU, Si mpaka unikate kofi
uzi niandikiwe mimi umbea ulete wewe!
 
WE LIA TU, Si mpaka unikate kofi
uzi niandikiwe mimi umbea ulete wewe!
Basi ntakukata makofi wewe na huyu mchumba wako
 
Back
Top Bottom