Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

_20230827_195624.JPG
 
Mkuu, unafahamu ni kwanini msanii na mfanya biashara mashuhuri nchini marekani JAY Z, hapendi kutumia mtandao wa kijamii.

ni kwa sababu ya watu Kama nyie kumpenda mwanamke mtandaoni ambaye humfahamu. Ni aina ya uandishi wake unakuvutia hii haina maana ya kwamba yeye ni mzuri Sana.

Think as a gentleman. 👍
wivu utakuua, nani kakuambia mimi sio mzuri!
mwache mtoto aandike, nimeshamwambia nitambeba mgongoni, mnachukia nini?!
 
Unawekaje bando,halafu unaanza kufungua nyuzi kama hizi,kumbe hata balansi ya BUKU huna?
Ashki ya kuanza kuumba watu kichwani mwako,unaipata wapi?
Aisee wewe kweli ni maskini jeuri.
Ngoja labda uliyemuomba,atakurushia hiyo BUKU.
jaman na mie nampenda, acheni kumsumbua mtoto
 
wakuu Salam✋

nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana

nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.

natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.

I love you so much money penny ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Acha ujinga wewe, amka.
 
Back
Top Bottom