Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Mimi mboni sikuchukiiHapana amemfuata babe wake sio mie humu nachukiwa na wanaume wote kisa nawakosoa so wanakagroup kao nasikia wananichamba eti keusi tii, kafupi kanene warura wakachaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mboni sikuchukiiHapana amemfuata babe wake sio mie humu nachukiwa na wanaume wote kisa nawakosoa so wanakagroup kao nasikia wananichamba eti keusi tii, kafupi kanene warura wakachaa
haya dada kachambe ulale mana humu hakuna hata anaekushobokea.Hapana amemfuata babe wake sio mie humu nachukiwa na wanaume wote kisa nawakosoa so wanakagroup kao nasikia wananichamba eti keusi tii, kafupi kanene warura wakachaa
kwani hapa nimekuja kutafuta nini?wee dada liseti dishilako upyaHapana yeye hajui mapenzi anajua ujuaji eti na njaa kama yeye ameshiba amekuja kufuata nini humu??
wekibonde sana.haya tongoza sasaMimi mboni sikuchukii
jamaan msigombanekwani hapa nimekuja kutafuta nini?wee dada liseti dishilako upya
Wewe umesema nikuache nimekuacha endelea kupigania penzi usiachwe ukubwa dawa pambania kombe ila usidharau mtu humjuiwee umeenda lini na ulienda nchi Gani?🤣
Huyu atakuwa bado ni kijana mdogo bado hatambui afanyalo.Acha hiyo ni kwamba hajuii ku quote a lady aende hata huko au afanye mAAJABU
kirahisi tu!Soma comment angetafuta mawasiliano yako. Akutoe out halafu akupe hata laki mbili kukukaribisha tena sio analia lia humu kama sio mwelewa
Hawa ndio wazuri ni mabonge wanawahi kulalawekibonde sana.haya tongoza sasa
jesus!dada huyumwenzio hana njaa kama wewe mbona huelewi?
huyu simuelewi Ana wivu sanajamaan msigombane
Kwahio?Hawa ndio wazuri ni mabonge wanawahi kulala
wivu utakuua, nani kakuambia mimi sio mzuri!Mkuu, unafahamu ni kwanini msanii na mfanya biashara mashuhuri nchini marekani JAY Z, hapendi kutumia mtandao wa kijamii.
ni kwa sababu ya watu Kama nyie kumpenda mwanamke mtandaoni ambaye humfahamu. Ni aina ya uandishi wake unakuvutia hii haina maana ya kwamba yeye ni mzuri Sana.
Think as a gentleman. 👍
jaman na mie nampenda, acheni kumsumbua mtotoUnawekaje bando,halafu unaanza kufungua nyuzi kama hizi,kumbe hata balansi ya BUKU huna?
Ashki ya kuanza kuumba watu kichwani mwako,unaipata wapi?
Aisee wewe kweli ni maskini jeuri.
Ngoja labda uliyemuomba,atakurushia hiyo BUKU.
Sijui ila ujue hivyo age yako itakuwa 26 au 23 ndio mnadata mapemaKwahio?
niña 37Sijui ila ujue hivyo age yako itakuwa 26 au 23 ndio mnadata mapema
Acha ujinga wewe, amka.wakuu Salam✋
nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana
nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.
natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.
I love you so much money penny ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
jaman na mie nampenda, acheni kumsumbua mtoto