Usingizi nakosa kwa ajili yake

dada acha wivu nani kakwambia sina hela?
Ungekuwa unahela usingekuja kulia lia humu ungetafuta mawasiliano yake halafu umuombe outing sehemu maridadi halafu umtoe out tokea saa nane yaleo hadi saa kumi umpe hata laki mbili ya kumtakia siku njema hata siku ingine . Anakuja sasa unalia lia huku kama thaira wai wewe sio gentlemen wewe ni handcome sio handsome
 
mwenzio yupo ulaya huyu dada.acha kupiga makelele humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…