Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

Hadi vita ya maji maji ishe ndio utarudi bongo
 
Yeah ni kweli 🧐🧐🙃
 
🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣
ungatela utaelewa mbelekwambele😉👋
🤣🤣Bado nawaza unampendaje mtu ambae hujawahi muona? Ipo siku utamfungulia thread kidume!! Sema sijui nifungue ID kazi yake inakua hzo tu kujiperembesha kwa ID za kike humu
 
Naona unajitekenya afu unacheka mwenyewe

New member joined this August afu anakwambia anafatilia nyuzi zake😛😛 tunaijua hio
Labda alijoin baada ya kunisoma Sana JF
Kwani shida ikowapi?! Huenda me ndio nimemu inspire kaingi JF we unaumia nini??
 
Naona unajitekenya afu unacheka mwenyewe

New member joined this August afu anakwambia anafatilia nyuzi zake😛😛 tunaijua hio
 
Siwezi fungua upumbavu
 
Back
Top Bottom