Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

ID zake zote anapewa ban ila hakomi anafungua mpya kila siku, na alivyo mshamba anafungua ID majina hayatofautuani sana kazi yake ni kutukana tuu. Mwezi huu tuu hii ID ya 3 anakula ban
Du
 
eh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
pacha nilijua tu hapa huwezi kujiweka
 
Mnaonzisha mada za kumpenda fulani humu huwa nawaona hamnazo..najua mtasema wivu sijaandikwa mtajua wenyewe...ila naona ni ka ufala fulani hivi..si umfate PM...
 
Back
Top Bottom