Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Labda anayoTutafute pesa bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda anayoTutafute pesa bro
Mbona kama umeumia Sana😱Huyo dogo ni mpuuzi was mwisho, na Hiyo ni I'd yake ya kukashifu watu.
Wewe ulichemka lini kwangu??Ila kwa huyu money penny utachemka mapema Sana bro😂
Pm yangu iko wazi masaa 24 mbonaaaTena hadharani... ila SAFI! maana wanajifanya kufunga PM, na wakati umri umeshawatupa mkono 😅
Mungu anakuoooonaAmka sasa kabla ujajinyea hiyo sauti unayosikia kwamba ni muda wa kuchimba dawa sio halisi ni ndoto ooh shauri yako.
DuID zake zote anapewa ban ila hakomi anafungua mpya kila siku, na alivyo mshamba anafungua ID majina hayatofautuani sana kazi yake ni kutukana tuu. Mwezi huu tuu hii ID ya 3 anakula ban
Nimesema nitamuajiriMoney Penny tunatumai umempatia kijana nafasi.
Niumie kisa wewe au nini 🤔, mh sidili na wajinga🤔Mbona kama umeumia Sana😱
Poyeee
Unantaka kwiiiyoooo?! 😌Pm yangu iko wazi masaa 24 mbonaaa
wewe ndio unanitaka umeuliza pm yanguUnantaka kwiiiyoooo?! 😌
pacha nilijua tu hapa huwezi kujiwekaeh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
nimewekwa twin, atcha kabisa!pacha nilijua tu hapa huwezi kujiweka
Nishakuwa mtu mzima mimi, mikiki siiwezi tena.wewe ndio unanitaka umeuliza pm yangu
nenda hoteliniNishakuwa mtu mzima mimi, mikiki siiwezi tena.
Mimi nataka Chapati na roast 😒
acha wivuMnaonzisha mada za kumpenda fulani humu huwa nawaona hamnazo..najua mtasema wivu sijaandikwa mtajua wenyewe...ila naona ni ka ufala fulani hivi..si umfate PM...
Nilijua tuu utanipondaacha wivu
ULITAKA NIKUCHEKEE?Nilijua tuu utaniponda
Mbona una hasira??? Na mm nimeweka mawazo yangu naona ni ufala...ww mbona unataka tusikilize mawazo ya mtoa mada..sasa mbona unapinga yangu...ULITAKA NIKUCHEKEE?