princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
1.Epuka mwanga mkali chumbani kwako ukishapanda kitandani uzime taa ya chumbani kwako.Habari za usiku..
jamani nauliza unaweza kufanyaje ili uwe na usingizi wa haraka ukishafika kitandani?
maana mimi tangu nmeanza kujijua udogoni sinaga usingizi wa haraka..
naweza kaa kitandani masaa mawili ,lisaa na nusu sijalala ,japo nikilala ndo mmelala haswaa kama nimezimia.
nashukuru sana kwa jibu..1.Epuka mwanga mkali chumbani kwako ukishapanda kitandani uzime taa ya chumbani kwako.
2.Epuka pia kutumia vitu vyenye mwanga kama simu,laptop ukishapanda kitandani.
3.Epuka makelele/sauti ya juu kama vile muziki
4.Usivae nguo za kubana wakati wa usiku-kama ni maeneo yenye joto inashauriwa kulala bila nguo kabisa ili mwili wako urelax. Au uvae nguo nyepesi na isiyobana mwili.
5.Hakikisha mwili wako ni msafi na mkavu-ni vyema kuoga vizuri na kujifuta kabla ya kupanda kitandani.
6.Epuka vinywaji kama chai/kahawa ambavyo vina caffeine ambacho ni kichocheo kinachofukuza usingizi.
7.Kama tayari umeolewa SEX ni njia nzuri sana na ya haraka ya kupata usingizi.
princess ariana
naweka kaa seblen nikahisi kulala nasinzia kabisa nikifika usingizi unaisha wote..sasa kma huna usingizi kwann unaenda kulala from the first place???!,kalale ukiwa unahisi kusinzia otherwise hamna tutakachokupa kikakusaidia
nmekosa vigezo mzee wangu ni mwanajeshi JWTZ 671Kajiunge jkt
jana nmeanza kuwataja adamu na eva ,kaini na habiliSoma biblia
haina madhara kiafya?Kunywa piriton vidonge 2 kila unapotaka kwenda kulala mambo yatakuwa safi!
-Nyerere-
Dont try this pls. Itafika kipindi utakuwa unategemea hizo.dawa kupata usingizi yaani bila kunywa hizo hulali.Pia itakuwa inabidi uongeze dozi kila baada ya muda. Itakuwa ni sawa na mwanaume anaetegemea viagra kupata erection.haina madhara kiafya?
asante sanaDont try this pls. Itafika kipindi utakuwa unategemea hizo.dawa kupata usingizi yaani bila kunywa hizo hulali.Pia itakuwa inabidi uongeze dozi kila baada ya muda. Itakuwa ni sawa na mwanaume anaetegemea viagra kupata erection.
princess ariana
najiskia usingzi ila kulala ndio ishuUsilale kabisa mwezi mzima then ndio ujaribu kama unaweza lala haraka
Ndugu usitumie hayo mavidonge nilikuwa nakutania!haina madhara kiafya?
Habari za usiku..
jamani nauliza unaweza kufanyaje ili uwe na usingizi wa haraka ukishafika kitandani?
maana mimi tangu nmeanza kujijua udogoni sinaga usingizi wa haraka..
naweza kaa kitandani masaa mawili ,lisaa na nusu sijalala ,japo nikilala ndo mmelala haswaa kama nimezimia.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] ningekunywa ,japo niliwahi kunywa wakati naumwa mafua hayakusaidiaNdugu usitumie hayo mavidonge nilikuwa nakutania!
-Nyerere-
niwe kichaa[emoji24][emoji24][emoji24]Kama unaweza jaribu kuvuta ganja kabla hujalala, this is real.
Utakufa? Hata kitandani utakufa vile vile.nmekosa vigezo mzee wangu ni mwanajeshi JWTZ 671
MP
SIna vigezo anasema ntakufa huko