princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Habari za usiku.
Jamani nauliza unaweza kufanyaje ili uwe na usingizi wa haraka ukishafika kitandani? maana mimi tangu nmeanza kujijua udogoni sinaga usingizi wa haraka.
Naweza kaa kitandani masaa mawili ,lisaa na nusu sijalala ,japo nikilala ndo mmelala haswaa kama nimezimia.
Jamani nauliza unaweza kufanyaje ili uwe na usingizi wa haraka ukishafika kitandani? maana mimi tangu nmeanza kujijua udogoni sinaga usingizi wa haraka.
Naweza kaa kitandani masaa mawili ,lisaa na nusu sijalala ,japo nikilala ndo mmelala haswaa kama nimezimia.