1. Kula chakula cha kutosha chenye protini kama nyama.
2. Fanya mazoezi ya kutosha kila siku jioni.
3. Kunywa mvinyo mwekundu angalau glass moja baada ya chakula cha jioni.
4. Usitumie kahawa, chai, au energy drink yeyote muda wa jioni au masaa manne kabla ya kulala.
5. Kunywa maji ya kutosha yasiwe ya baridi.
6. Soma kitabu chochote ukiwa umepanda kitandani unasubiri kulala.( Sio thriller stories au zinazohusu action/blockbuster)
7. Epuka kelele kama kusikiliza muziki, kuangalia movie nyakati za kulala.
8. Kama umeolewa au unajihusisha na sex(conjugation) basi shiriki tendo kabla haujalala na hakikisha unajishughulisha kweliweli( just ride your mans di*k like you are are riding a horse) Just be active and lead the show. Hii utalala fofo dakika 3 tu baada ya kufikia climax/orgasm. Kwa wanaume ni fofo dakika 1 tu kama umefuata routine niliyokupa hapo juu ukamlizia na sex conjugation.