Mnatofautiana, wewe unawakumbuka waliokupa pay nzuri na kukupa maisha...wengine wanakumbuka kwa yao na wao.Mwanaume wa kumkumbuka ni yule alokuwa akimpa.mwanamke matumizi yake yote, vijipesa vijizawadi etc.
Ila kwa wale wasimamia kucha eti utakumbukwa? Big no.
You have a lot to learn.Mkuu...analea yeye mm nampa ushauri tu.
Atakaye uvaa mkenge akuweke ndani atajuta,Umeongea vyema mpenz,ila kama hujapitia maumivu na pigo za Hawa watu I swear utatamani umeze Tena ulichoandika. Cute umewahi ambiwa sijalala na huyo mwanamke mbele ya mwanamke mwenzio na hapo una mimba ya jamaa?
Aisee, hujapitishwa kwenye moto wewe.Sina kitu Cha kumkumbuka mwanaume hata ajinyonge huo ni ujinga wake kuendekeza mapenz.Sikuhiz Kuna ngono na siyo mapenz, kama umebahatika hongera,keep it up cute😉
Sema ukweli tu kila siku unamwanaume mpya utamkumbuka yupi acha tamaa za kishamba.Mwanaume wa kumkumbuka ni yule alokuwa akimpa.mwanamke matumizi yake yote, vijipesa vijizawadi etc.
Ila kwa wale wasimamia kucha eti utakumbukwa? Big no.
Tamaa za kishamba? Nimekuomba nini? Ukija kukoment siku nyingine usikurupuke sio unaanza kuvamia usiowajua.Sema ukweli tu kila siku unamwanaume mpya utamkumbuka yupi acha tamaa za kishamba.
Nilitegemea majibu hayoTamaa za kishamba? Nimekuomba nini? Ukija kukoment siku nyingine usikurupuke sio unaanza kuvamia usiowajua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] fyoko fyokoAmekutana na single mom mwenye C-section,k bado inavuta Kwa ndani.[emoji1787] Dunia hii mapenz hakuna.....upendo upo mwanzon tu baada ya hapo [emoji849]
Inaweza kuwa haijawahi kufanyiwa jambo baya kiasi hicho Kwa sababu wewe ni mjanja mjanja ukiona red flag tu mbiooo , [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha nimecheka huku nahuzunika kwa hii comment yako...pole sana to yeye
Nimeelewa hoja yako kulingana na uliyopitia
Binafsi hadi sasa namshukuru Mungu wanaume bado hawajanifanyia jambo baya kiasi cha kuwa na chuki nao ya kudumu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ulitaka aseme amelala na wewe mbele ya mwanamke mwenzako ili iweje?! Wewe uliye lala nae si unajua kuwa umelala nae?! Huyo mwingine inamhusu nini na kwann unalazimisha kuongelea mambo personal mbele ya mtu mwingine.
Hao ndio wanao ongozwa Kwa kukumbukwa now days Sasa ,Mwanaume wa kumkumbuka ni yule alokuwa akimpa.mwanamke matumizi yake yote, vijipesa vijizawadi etc.
Ila kwa wale wasimamia kucha eti utakumbukwa? Big no.
For sure [emoji625][emoji625][emoji16]Mnatofautiana, wewe unawakumbuka waliokupa pay nzuri na kukupa maisha...wengine wanakumbuka kwa yao na wao.