Usiniadhibu kwa kukupenda

Move on, tafuta option ingine
 
Punguza kua Mr NICE MAN,

Weka misimamo yako clear na yeye ajue,

Ukiendelea kulia Lia hivi uyo Mwanamke atakusumbua sana, na utajuta
 
Kila siku humu mnashauriwa single mamaz achaneni nao watu hamsikii.
 
Kila siku tunaongea humu ndani jmn! Achaneni na mambo ya masingle maza. Watajisort wenyewe. Mbona hamtuelewi? Haya ina sasa.
 
Umejibu vema. Mimi kuna mmoja hadi kesho anatamani nirejee lakini nilishamwambia imekwisha. Nilimpa thamani ambayo kabla sikuwahi kumpa mwanamke yeyote kimapenzi, akaniona lofa. Akawa anamleta bwanake nyumbani kwao (tulikuwa majirani) nikiwepo. Alifanya hivyo kama mwaka mzima mpaka nikapoteza uwezo wa kufikiri sababu niliamini siwezi kuishi bila yeye.

Nilimuaga naondoka akajibu tu "sawa" nikaondoka. Bado mbali naye nilikuwa nampigia simu, ila one day akaniambia "ùsinipigie simu wala sms, naolewa na mdogo wako kwahiyo kwasasa wewe ni shemeji yangu." Nikajaribu kufikiria huo ushemeji unatoka wapi na sina mdogo wangu anayeoa huko. Ile sms hadi leo ndio silaha yangu, akijifanya kunitafuta namkumbusha kwamba siwezi kuchangia mwanamke na mdogo wangu.

Alifanya vile kwasababu alijua muda wowote nitamtafuta na sifurukuti. Kama kawaida alitegemea meseji kama "kwanini unanitesa, nimekukosea nini, naomba usifanye hivyo" n.k

Akaona kimya day 1,2,3 akajua utani akapiga nikakata. Akatuma sms sikujibu. Ikawa imeisha na sijawahi kuwa na hisia naye tena tangu hapo
 
Hahaha nimecheka huku nahuzunika kwa hii comment yako...pole sana to yeye

Nimeelewa hoja yako kulingana na uliyopitia
Binafsi hadi sasa namshukuru Mungu wanaume bado hawajanifanyia jambo baya kiasi cha kuwa na chuki nao ya kudumu
Sikujui, hunijui. Lakini i swear ningekuwa single ningekutafuta kwa namna yoyote ile. Huwa una comments fupi lakini zenye kujenga%kutafakarisha.
 
Kwa mwanamke yuko radhi atafute mwanaume mwenye helaa ila sio kumuacha anayemkojozaa
 
Achana na huyu @to yeye ...huyu akili zake kuna uwezekano zilishahama sio yeye tena.Materialist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…