Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Aisee mbona umeiandika kwa hasira sanaAkukumbuke Kwa lipi sasa mkuu😳 umemjengea nyumba? Au ulikuwa unamlipia Kodi ya nyumba? Karma is vise versa, is real or not real😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mbona umeiandika kwa hasira sanaAkukumbuke Kwa lipi sasa mkuu😳 umemjengea nyumba? Au ulikuwa unamlipia Kodi ya nyumba? Karma is vise versa, is real or not real😉
Move on, tafuta option ingineWewe ni single mother imetokea nimekupenda.
Nakuta mwanao wa kiume hana nidhamu na hajalelewa kiume amelegea na mideko mingi, nakusaidia kumlea kwa kukupa ushauri. Unaniambia siwezi kujua mtoto analelewaje.
Haya unaniambia nikope pesa ili ufanye biashara uongeze mtaji nakwambia subiri mwaka wa bajeti uanze. Unasema sijakupa thamani ndio maana sioni sababu ya kukusaidia.
Unaamua kuninunia na kuniambia nijitathmini kama nakuhitaji nifanye mambo hayo ili uamini. Umeamua kuniadhibu kisa nimekupenda? Sawa, namimi natafuta njia mbadala ila utaja kumbuka.
Kama unifahamvyoAisee mbona umeiandika kwa hasira sana
Naaam,Huyoo Hakupendi mkuu.
Ukishamtimizia ndo utajua hujui.
Kila siku tunaongea humu ndani jmn! Achaneni na mambo ya masingle maza. Watajisort wenyewe. Mbona hamtuelewi? Haya ina sasa.Wewe ni single mother imetokea nimekupenda.
Nakuta mwanao wa kiume hana nidhamu na hajalelewa kiume amelegea na mideko mingi, nakusaidia kumlea kwa kukupa ushauri. Unaniambia siwezi kujua mtoto analelewaje.
Haya unaniambia nikope pesa ili ufanye biashara uongeze mtaji nakwambia subiri mwaka wa bajeti uanze. Unasema sijakupa thamani ndio maana sioni sababu ya kukusaidia.
Unaamua kuninunia na kuniambia nijitathmini kama nakuhitaji nifanye mambo hayo ili uamini. Umeamua kuniadhibu kisa nimekupenda? Sawa, namimi natafuta njia mbadala ila utaja kumbuka.
Umejibu vema. Mimi kuna mmoja hadi kesho anatamani nirejee lakini nilishamwambia imekwisha. Nilimpa thamani ambayo kabla sikuwahi kumpa mwanamke yeyote kimapenzi, akaniona lofa. Akawa anamleta bwanake nyumbani kwao (tulikuwa majirani) nikiwepo. Alifanya hivyo kama mwaka mzima mpaka nikapoteza uwezo wa kufikiri sababu niliamini siwezi kuishi bila yeye.Unaweza kumkumbuka mtu kwa upendo wake wa kweli
Upo wakati baada ya kupitia heart breaks za kutosha unajitathimini mahusiano uliyopitia na kukumbuka yule mmoja ambaye deep down unajua alikupenda kweli...ndio kukumbuka kwenyewe huko
Sio lazima iwe kodi ama kujengea nyumba
Sikujui, hunijui. Lakini i swear ningekuwa single ningekutafuta kwa namna yoyote ile. Huwa una comments fupi lakini zenye kujenga%kutafakarisha.Hahaha nimecheka huku nahuzunika kwa hii comment yako...pole sana to yeye
Nimeelewa hoja yako kulingana na uliyopitia
Binafsi hadi sasa namshukuru Mungu wanaume bado hawajanifanyia jambo baya kiasi cha kuwa na chuki nao ya kudumu
Kwa mwanamke yuko radhi atafute mwanaume mwenye helaa ila sio kumuacha anayemkojozaaHao ndio wanao ongozwa Kwa kukumbukwa now days Sasa ,
Wewe peleka peleka mazawadi Yako then uwe kimoja Chali uone jinsi Dunia ya mapenzi itakavyo kunyoosha , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimejionea Kwa macho yangu sio mara 1 Wala mara 2
Wanawake wakiwalilia wasimamia ukucha baada ya kuachana nao
mmh mbona umemjibiaKama unifahamvyo
Kumjibia nanimmh mbona umemjibia
Angalia vizuri nimemquote @to yeye we ukamjibiaKumjibia nani
Am to Yeye😉mmh mbona umemjibia
It's me my friendAngalia vizuri nimemquote @to yeye we ukamjibia
Oooh nimekupataIt's me my friend
Achana na huyu @to yeye ...huyu akili zake kuna uwezekano zilishahama sio yeye tena.MaterialistUnaweza kumkumbuka mtu kwa upendo wake wa kweli
Upo wakati baada ya kupitia heart breaks za kutosha unajitathimini mahusiano uliyopitia na kukumbuka yule mmoja ambaye deep down unajua alikupenda kweli...ndio kukumbuka kwenyewe huko
Sio lazima iwe kodi ama kujengea nyumba
🤣Niachee🤸Achana na huyu @to yeye ...huyu akili zake kuna uwezekano zilishahama sio yeye tena.Materialist