Usinipangie matumizi ya sehemu zangu za siri asikika bikra akilalamika

Usinipangie matumizi ya sehemu zangu za siri asikika bikra akilalamika

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Nipo zangu mlimani City kwenye manbo ya kushuti Content za youtube channel yangu

Tukiwa break mara wakaja wadada wawili buana mazungumzo yao yalikuwa hivi

Dada wa kwanza: my dia usipotoa kwa wanaume hata kidogo wakuonje onje hautaolewa,

Dada wa pili (bikra): kwahiyo mwenzetu wewe ulitoa kwa wanganui tabla haujaolewa?

Dada wa kwanza: boyfriend nilikuwa nao 3 tu, ila nishapita na wababa kibaooo

Dada wa pili (Bikra): kwahiyo Jamie safari ndio inaanza nitafute boyfriend watatu na wababa wakutosha??

Dada wa kwanza: sio lazima iwe ivyo unaweza bahatika

Dada wa pili (bikra): tafadhal me siwezi hayo maisha yako, kama kuolewa ni mpaka usulubiwe kwanza na wanaume na waume za watu me sitaweza

Alafu naomba nisipangiwe matumizi ya sehemu zangu za siri, kila mtu ameumbwa na zake, tusipangiane wapi pa kuwekesha zangu

Je huyu bikra alikosea kumjibu mwenzake??
 
Pop u're shit 💩

_20240127_205747.JPG
 
Back
Top Bottom