Unatumia simu kwa uogauoga ili isidondoke kisa itakapo kuja mpya ukabadilishe? Huo ni umasikini. Tumia simu inapokuja mpya huna haja ya kuibadilisha tafuta mtu umpe/muuzie igawe au iweke kama makumbusho kisha chana wallet ukanunue mpya udhihirishe umwamba wako unaousema hapoExcuse za watu wasio na hela zinachekesha sana,[emoji23]nasubiria ifike kwa hamu apa nipeleke 12pro nipewe 13pro,lazima kieleweke
Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
[emoji3][emoji3]unajua cristiano ronaldo anatumia simu gani ?
sadio mane je ?
i phone ni overated ndio maana mnauziwa fake za china
mkiambiwa ukweli mnasema mna hela
nyinyi ni wajinga wajinga
hapo una i phone 6 unajiona waliomo wamo
Tusipangiane maisha.1 TB ni kubwa mno
labda kama unaendesha kiwanda au kampuni kubwa mkononi
vinginevyo ni upuuzi tu
mie hata kuangalia movie kwenye simu kunanishinda
sasa tv niliyonunua ya nini kama naweka movie kwenye simu
Tuna fagilia ujinga tu
wonder why mtu anatoa jicho moja ili apate macho matatu
Huo ndio ukweriiiTusipangiane maisha.
Sasa hivi natumia Hisense H821Hhahaha sasa hivi unatumia ipi
Hahaah nataka vyoteKaazi kweli,si bora nikununulie infinix na passo au vitz,au unaonaje hiyo
Karibu umepata mama,mi nawewe tumetoka mbaliHahaah nataka vyote
Babe unatafuta sababu ya kutoninunulia iphone jamani[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji1787]Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
unataka i phone 6 au infinix hot 10T ?Babe unatafuta sababu ya kutoninunulia iphone jamani[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji1787]
Babe hapo infinix imeingiaje sasa[emoji2369][emoji2369]unataka i phone 6 au infinix hot 10T ?
Poa tufanye tecnoBabe hapo infinix imeingiaje sasa[emoji2369][emoji2369]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Poa tufanye tecno
basi itel mamiloo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenishinda tabia.
Khaaaaaa! Basi tufanye nokia kitochi.basi itel mamiloo
Battery je ni ukubwa ganiNitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.