Wapo wanaonyoa huo mtindo unaitwa hivyo!! yaani kichwa kinachongwa mfano wa ta.koMh! hapa nimebaki kwenye mataa LOL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaonyoa huo mtindo unaitwa hivyo!! yaani kichwa kinachongwa mfano wa ta.koMh! hapa nimebaki kwenye mataa LOL!
Mkuu nisaidie, mie kwangu ngumu kweli maana😀😀😀😀
Wala unapiga wese la Nazi au olive oil mapele hamna [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Naungana na mleta mada, achilia mbali magonjwa pia ukipiga kipara unaweza pata mapele!!!
Piga panki usinyoe kipara
Mkuu nisaidie, mie kwangu ngumu kweli maana
Aisee kuliko kuacha panki c bora niache tu nikae ivoivo[emoji23] [emoji23]uGU
Ugumu wake nini Deborah??
Kwani nini hawajui kunyoa, kubakiza, usafi ,au kunakonyolewa. Kwani Hawajawahi kunyoa. Mimi maadili yananikataza kuweka picha za hivyo jamani.Tatizo watu wanataka picha
Napenda kunyoa/kufyeka/kupuruni musitu wa amazoni kiasi siyo kuumaliza kabisa maana nilishaga wahi kunyoa vuzi lote niliwashwa sana pindi vuzi linaota
Na Mungu alipompa mwanadamu akili za kutawala viumbe wengine na mazingira yake hakuwa na akili..kwani mungu alipotengeneza hizo nywele hakua na akili?
Sawa kabisa mkuu, kila kiungo au unywele mwilini una maana yake, hatusemi usizichonge, kupunguza au kurembesha, ila ni muhimu kuzingatia hii mada...nywele makwapani zina maana yake, kope na kwenye kidevu (kwa wanaume), puani na sehemu za sukari, hata kule nyuma, kweli kabisa..Hapo kuna ukweli, huwa najiuliza kwa nini tunaota mavu.... tunapofikia baleghe, na kwa nini ziote sehemu nyeti tu, mungu hakosei, kila alichokiweka kwa mwanadamu kina umuhimu wake
Asubuhi yote hiiUmechelewa kuleta habari ndio nanyoa hapa