mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 7,938
- 17,729
Mkuu nani kakuvuruga kiasi hiko, nipe ABC[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dogo we oa tu ila baadae usije na machozi hapa[emoji29][emoji29]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nani kakuvuruga kiasi hiko, nipe ABC[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dogo we oa tu ila baadae usije na machozi hapa[emoji29][emoji29]
Muiraq yaani Mmbulu sio?
Ukipata msichana akawa ni mnyakusa mwalimu usioe
Mkuu nani kakuvuruga kiasi hiko, nipe ABC[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba kukazia hapa USIOE TENA KIMBIAAAAA
Mi nasukumakizazi chake mara kadhaa nasepa.kwani Msukumakizazi anasemaje??
Mkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona msichana anakuja kwako anakula halafu vyombo vichafu uoshe ww my friend usioe!!!
Mkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]
SIOWI
Eee? Umesema?Ukipata msichana akawa ni mnyakusa mwalimu usioe
Duh!? sa anakua kapata wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msichana uliyemuomba no ya simu lkn baada ya kumpa kisogo tu ukigeuka akakutumia SMS ya "Tafadhali niongezee hela" USIOE... [emoji28]
Kuna kabint hv tulibadilishana phone number baada ya dk 5 nikachek sms kame nitumia pesaMsichana uliyemuomba no ya simu lkn baada ya kumpa kisogo tu ukigeuka akakutumia SMS ya "Tafadhali niongezee hela" USIOE... [emoji28]