Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Acha uoga mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke wa Kichaga mwenye Elimu kubwa au asie na Elimu ambae kila mkikaa anakuletea mipango mingiii ya biashara kama vile anakuona huna mwelekeo.
USIOE FUTA WAZO HILO KABISA
 
Suala la kuoa na kuolewa ni la kibinafsi sana kwa mtu kutoa au kuchukua ushauri kwenye mitandao bila uchunguzi binafsi kujiridhisha zaidi.

Za kuambiwa changanya na zako.

Rapper Jay-Z alimwambia Jermaine Dupri asiingie mkataba na ligi ya American Football (NFL), kwa sababu za activism, halafu yeye mwenyewe Jay-Z akaingia mkataba huo huo.

Unaweza kukubali ushauri kukataa kitu kwa maoni ya mtu mwingine ambayo hayana uhalisi kwako, halafu ukashangaa matokeo yule aliyekushauri hajautumia ushauri wake mwenyewe.
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.
- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE
- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE
- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE
- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE
- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE
- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >
-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE
-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE
-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE
-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE
-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE
-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani
-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE
-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
Mwanamke asiyekuwa na sifa unazotaka/usiyeendana nae usioe vinginevyo utamtesa/atakutesa pia ndoa itawashinda
 
Back
Top Bottom