Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Ongezea hii

Nungayembe - wenzake wooooote hapo mtaani wameshaolewa wapo kwa mabwana zao amebaki yeye tu. Lazma atakuwa na shida huyu.
 
Hao waha sio ndo wale wakupasiana ubishi au ni wa wapi hao na hawa wanyarwanda si ndio wale wakukuletea bf ndan akidai ni kakake?
Demu Kama Ni muha , muhangaza , musubi , munyarwanda , murundi, munyankore au muhima ... OA HARAKA SANA
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.

- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE

- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE

- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE

- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE

- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE

- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >

-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE

-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE

-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE

-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE

-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE

-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani

-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE

-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
Mimi huyu naoa washikaji, kama mmemwona kama huyu nileteeni
 
Musikubali kuoa makabila ya tanzania nendeni mkaoe wazungu mana wanapenda sana kuliwa kisamvu
 
Usitutishee!!!!
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.

- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE

- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE

- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE

- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE

- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE

- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >

-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE

-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE

-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE

-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE

-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE

-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani

-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE

-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
 
Mkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]
SIOWI
Huyo hapana aicee, mzembe sana
 
Mwanamke wa Kichaga mwenye Elimu kubwa au asie na Elimu ambae kila mkikaa anakuletea mipango mingiii ya biashara kama vile anakuona huna mwelekeo.
USIOE FUTA WAZO HILO KABISA
 
Back
Top Bottom