Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
Jitoe kibanzi wewe kabla ya kuona boriti ya mwenzioJifunze kiswahili fasahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitoe kibanzi wewe kabla ya kuona boriti ya mwenzioJifunze kiswahili fasahi
Demu Kama Ni muha , muhangaza , musubi , munyarwanda , murundi, munyankore au muhima ... OA HARAKA SANA
Mimi huyu naoa washikaji, kama mmemwona kama huyu nileteeni[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.
- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE
- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE
- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE
- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE
- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE
- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >
-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE
-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE
-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE
-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE
-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE
-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani
-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE
-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
Mimi huyu naoa washikaji, kama mmemwona kama huyu nileteeni
Nina miaka sita naishi sumbawanga nasikiaga humu mitandaoni eti swax kuna uchawi mbona sijaona chochote so far?Nina wiki Sumbawanga na sijaona uchawii
Nyie akili zenu finyu,malaya wapo kila mji na kila kabila ila haina maana usioe mtu wa kabila hilo kisa mjini kuna malayaTown nyuma ya tra kuna bara bara jion wanajiuza hapo
500Kalituma ngapi ndani ya dakika tano?
[emoji3]Nyumbani hamna dodoki[emoji848][emoji848]
[emoji3]
Ukiona mwanamke alieachika anakuletea malalamiko ya X husband wake usioe
Anashabikia ccm usioe[emoji23]
Musikubali kuoa makabila ya tanzania nendeni mkaoe wazungu mana wanapenda sana kuliwa kisamvu
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
- Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE.
- Úkiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo ya kubana sana halafu anatembea bila aibu mtaani USIOE
- Ukiona msichana anakunywa pombe na kulewa akiwa bar USIOE
- Úkiona msichana anaujasiri wa kusimama na wanaume hovyo barabarni bila kuona aibu USIOE
- Ukiona msichana anaujasiri wa kukujibu mbovu hadharani USIOE
- Ukiona msichana anatoa hela anasuguliwa miguu USIOE
- Ukiona msichana unamtumia vocha halafu anakubipu USIOE >
-Ukiona msichana ni mjuaji juaji USIOE
-ukiona msichana ni muongeaji sanduku la maoni la mwendokasi likasome USIOE
-ukiona msichana ametendwa zaidi ya Mara mbili kwenye mahusiano USIOE
-ukiona msichana anapenda kupigia picha kwenye dressing table za lodge, kwa marafiki, saloon huku yeye dressing table yake ni dirishani USIOE
-ukiona msichana amehudhuria harusi zaidi ya tano na bado yupo kwao USIOE
-ukiona msichana kavaa mipete kumbe Hana mume wala mchumba USIOE huyo tayari keshaolewa na shetani
-Ukiona msichana anapenda Sana kupiga picha na kuonesha makalio kwa kuyabinua Kama mtetea anaandaa mazingira ya kupandwa na jogoo USIOE
-Ukiona msichana........ ENDELEA NA WEWE [emoji3][emoji3]View attachment 1114361
Huyo hapana aicee, mzembe sanaMkuu umentonesha kidonda[emoji23][emoji23]kunalimanzi hapa nlipopanga anadoto wake yeye ni kulwa.... Alinambia anataka nimuowe ananipenda sana..... Sas one day mnyam nkakaa kwenye jiko nkaivisha vyakura kidogo..... Kikaiva nkamp akaend kulia kwa ndugu yake..... NashangAA Ananludishia vyombo vichafu[emoji23][emoji23][emoji23]
SIOWI