lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Usioe mwanamke aliyezalishwa na mtu mwingine utajuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi inayoanza na moja bila hiyo sio mechi....Usioe mwanamke aliyezalishwa na mtu mwingine utajuta
Mfyuuuuu zakoUkiona msichana ni Mnyiramba au Mu Iraq usioe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu na ndaga fijo zaoUkipata msichana akawa ni mnyakusa mwalimu usioe
Why mkuu?Ukiona msichana ni Mnyiramba au Mu Iraq usioe...
Mzee wanyaturu wana shda gan [emoji3]Ukiona msichana ni Mnyiramba au Mu Iraq usioe...
nakubali mia kwa mia hapo jua hakuna mkeUkiona msichana anakuja kwako anakula halafu vyombo vichafu uoshe ww my friend usioe!!!
Nakazia usioeUkiona msichana anakuja kwako anakula halafu vyombo vichafu uoshe ww my friend usioe!!!
Haya mashambulio yanayoikumba jinsia pendwa yananiumizaga saana... Ila at least mmeanza kuambiwa ukweli... Wee Dada mipaja nje Kama huyo unaoa wa Nini.. kwanini tuu usitafute mwanamke mtulivu...huyu ni Gudume? au mnafanana misimamo???vijana wadogo wanaosoma hapa watakua na different attitude kuhusu wanawake...sijui mnapata nini na hii negativity|?
WAIRAQMzee wanyaturu wana shda gan [emoji3]
mwenye uyu demu kayapatia maisha
KWANINI MKUUmwenye uyu demu kayapatia maisha
Chaguo ni lakohuyo wa kwenye picha yupo upnde wa oa au usioe!??