Nawaona tu vijana hadi PM yake,ohoo mie simo
cc Zulu
Hahahaha hebu itaje halafu unafikiri kila mtu ni muoga wa kuja na I'd mbili kama weweMissy Gf nakujua kwa I'd nyingine nayotumia hebu tulia kwanza
Ushawahi nijaribu.....huu uzi nitauamin endapo na mimi nitagawiwa na wadada wa jf.
yani sijawahi hata kutunukiwa hata siku moja hata kwa bahati mbaya haya kuuziwa sijawahi alafu naambiwa wanagawa kirahisi?
Yani wewe wa kujali window kuliko picha za Kimedani ?.weka picha kwanza album yake nimeipoteza jana niliweka window mpya
mie hapa nitoe, mdake huyo Hamisihadi PM yake
ilitokea bahati mbayaYani wewe wa kujali window kuliko picha za Kimedani ?
Mimi natafutwa mkuu, sitafuti.Mtaani kuna makundi mawili wanaofaa na wasio faa kuoa na wale wanaovumilika kulingana na uhitaji wako.
Huku wengi wapo kwenye kundi la wasiofaa huko mtaani na nirahisi kuwajua hata huko mtaani.
kama unataka tafuta demu mmoja humu anza kumfatilia kiitelijensia kimnya kimnya huku unjipakulia kwa uangalifu
Wenzie wanafanya research ili wapata PhD ye anafanya research ya kulala na wanawake....bata wahedKwa hiyo umelala na wadada wengi wa jf kama sehemu ya research yako?
😂ilitokea bahati mbaya
Adhabu nitatoa "Nitamfungia huku tandale kwa 1 week"mie hapa nitoe, mdake huyo Hamisi
Mwanamke ni chombo kisicho na nguvu ila kinahisia kali na akili sana ndiyo maana tukiambiwa tutumie akili kuishi nao.Tuwashukuru wanawake kwa kutochukua mamlaka yao yote. Yaani kuna asilimia ndogo tu wanawake wameamua kuichukua. Wakichukua full power wanaume tutahama hii dunia maana tumezoea kuwaonea kama tunavyoonea wanyama. Tumemfanya mwanamke kuwa sio binadamu kamili.
Mfano kumlipia mahali mwanamke, hili jambo ipo siku wanawake dunia nzima watalikataa na hapo power ya mwanaume ndipo ilipo.
Ipo waziHahaha, aisee..
Kwamba humu kumejaa vicheche?!
Siongozwi na mihemko kama wewe , nitakaa kimmnya kulinda faragha yako maana unanipaga kampani sana naupo social sana , shida yako ni moja tuu na siisemi hapa.Hahahaha hebu itaje halafu unafikiri kila mtu ni muoga wa kuja na I'd mbili kama wewe
Wengi wao wanasahau kulog off a/c zao za Jf na iliuweze kujua lazima iwe mjanja mjanja najasiri.Mimi natafutwa mkuu, sitafuti.
Bado unacheza na probability za kufikirika, hujaeleza ukikutana na mtu mtaani utahakikishaje hayupo JF.
Bila picha na kutaja ID zao huu ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine, mfano Mrema akishinda urais tutakunywa maji kwenye karai. 😆PM ni kuchukua namba na kukutana nae live, nilio kutana nao ni wakike na nimefagia wengi ana kwa ana katika kukamilisha utafiti wangu.
Nipo hapa kuwaambia vijana Jf hakuna mke huku wapo wauzaji
Naheshimu faragha zenu na ninajua ujumbe umefika, list ipo na namba zenu za simu zipo na majina yenu halisi yapo, mnapotokea chimbuko lenu hadi mnapo kaa.Bila picha na kutaja ID zao huu ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine, mfano Mrema akishinda urais tutakunywa maji kwenye karai. [emoji38]