Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Itoshe tu kusema pambana na hali yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mambo ziacheni, yaliyofanyika huko yanaishia huko. Ukiendelea zaidi ya hivi utafanya bullying na huenda ukakimbiza mtu hapa.Kuna mmoja niliwasiliana nae PM inshu ya kazi tukaja kuonana Live Salalee😂.
Hahahaaa..Ndio hivyo. Halafu unakuta huyu katongoza mdada PM kakataliwa anakuja kusaga kunguni in public
Mtuonyeshe sasa jinsi gani mnachafuana mtoa mada umezua yasio kuepo unaona sasaWanawake wengine sisi kwa sisi tunachafuana!
Hapo tu🙌
Mi nataka tu ushahidi sina mengi, privacy kitu gani bwana? Kwanza ukishatoa mambo yenu ya nje ya JF ukayaleta humu umeshavunja privacy, kama vipi tumalizie kipande cha privacy kilichobaki 😂😂Unampa moto mtoa mada, atajaa akwambie umepanic
Acha ukorofiMi nataka tu ushahidi sina mengi, privacy kitu gani bwana? Kwanza ukishatoa mambo yenu ya nje ya JF ukayaleta humu umeshavunja privacy, kama vipi tumalizie kipande cha privacy kilichobaki 😂😂
Umesoma uzi ukaelewa au umekurupuka mkuu,? anza kusoma tena alafu urudi hapaMleta uzi jifunze kuwa na hekima [emoji23][emoji23][emoji23]
Binadamu sote tuna kasoro kibao hata kupigwa vizinga nayo ni kasoro moja wapo sijui mtazamo wako kuelekea mti wa jinsi tofauti yako uko vipi? Au unadhani kupata namba ya Ke humu unajiona kama umeshapiga one step ahead kwenye kulimega tunda?
Mbona humu wengine tunawasiliana nao lakini sio kwa matazamio ya kutaka kula tunda hata akiniomba vocha namrushia, hela ya juice/soda namrushia pasipo kuwa na dhamira ya kutaka mahusiano au kupewa tunda.
Kuwa na mawazo yenye usawaziko. Ukiwa una mawazo tofauti na matarajio yako utaumia sana roho na utavurugika sana akili.
Kuna mmoja niliwasiliana nae PM inshu ya kazi tukaja kuonana Live Salalee[emoji23].
Mwanaume kukataliwa na mwanamke ni jambo la kawaida. Sisagi wanawake kunguni ila hakuna demu wa jf anakataa mwanaume. Atakukubalia na atakukadiria piaNdio hivyo. Halafu unakuta huyu katongoza mdada PM kakataliwa anakuja kusaga kunguni in public
Mi nataka tu ushahidi sina mengi, privacy kitu gani bwana? Kwanza ukishatoa mambo yenu ya nje ya JF ukayaleta humu umeshavunja privacy, kama vipi tumalizie kipande cha privacy kilichobaki [emoji23][emoji23]
Ni wachache tumebakiaSasa issue ya Kazi ulitaka uonane na Monalisa?
Ila Mbona Kama wanaume wengi siku hizi hawatumii logic kabisa ?
Mwanaume kukatakiwa na mwanamke ni jambo la kawaida. Aisagi kunguni hauna demu wa jf anakataa mwanaume. Atakukubalia na atakukadiria pia
We unanijua mi mpole 😂 Sina baya my wako.Acha ukorofi
Acha wachomane ili waache maisha ya mteremkoMtuonyeshe sasa jinsi gani mnachafuana mtoa mada umezua yasio kuepo unaona sasa
Sijawahi ona ulipoandika kikorofi, my wangu ......We unanijua mi mpole 😂 Sina baya my wako.
Umeshatongoza wanawake wangapi humu? Lete na evidenceMwanaume kukataliwa na mwanamke ni jambo la kawaida. Sisagi wanawake kunguni ila hakuna demu wa jf anakataa mwanaume. Atakukubalia na atakukadiria pia
🤣🤣🤣Ugua pole mwaya
We ushapigwa na kitu kizito humu dadekii 😁Mwanaume kukataliwa na mwanamke ni jambo la kawaida. Sisagi wanawake kunguni ila hakuna demu wa jf anakataa mwanaume. Atakukubalia na atakukadiria pia