Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Naheshimu faragha zenu na ninajua ujumbe umefika, list ipo na namba zenu za simu zipo na majina yenu halisi yapo, mnapotokea chimbuko lenu hadi mnapo kaa.
“Zenu” 😂😂😂 We acha bwana!

Utaendelea kuota hivyo hivyo.

Achana na faragha weka mambo hadharani, ukipigwa ban si utafungua ID nyingine?
 
Moderator Huu uzi usifutwe huu ni ukweli, chama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani

Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023.

Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya nilioufanya kutoka kwa hawa dada zetu wa Jf, nipo hapa kupigwa mawe pasi na kujali lolote ila ukweli ufike.

Wengi wao ni wake za watu, mademu za watu na wengine ni single maza, kulia shida kwao ni jambo la kawaida sana , atakuomba buku ila jua hujaombwa mwenyewe.

Na ukiwasikiliza maneno yao na sauti zao nikama malaika apigaye tarumbeta la amani, sauti zao ni za mapenzi ya hali ya juu, wanajali sana na wepesi kumpandisha mwanaume hisia za haraka kama kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, ukiwa nao faragha hawana mvuto isipo kua sauti zao ni nzuri za kubembeleza kama mbayu wayu wa mwituni mithili ya kukupelekea wewe mwanaume kujiona upo peponi

wana mitego ya kimahaba na ukijichanganya unaweza hadi kuuza mechi hadharani na ukakata kusikiliza mawaiza na kuamua kuoa upesi pasi na kufikiria mara mbili

Vijana msije mkajichanganya mkaingia mtegoni kuoa wanawake wa humu ndani asilimia kubwa ni matapeli na wanavisasi zidi ya wanaume japo wanaonekana kama malaika, ni warahisi mno na wepesi sana kuchakatwa pasi na wao kujali lolote , wao kukuvulia nguo ni wewe tuu ujipimie.

Wanawake wa humu ndani Jf wameweka hela mbele kama posho ya huduma atakayo kupa na wengi wao wanajiona ni wagumu sana ila kwa upande mwingine ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa kama wewe ni mjanja mjanja na una vihela vya chenchi za karanga, hawa hawafai kuolewa ,kijana usije ukaingia mkenge utakuja kulia sana.

Wanawake wa Jf siyo wife material kabisa , wanamaomivu moyoni na asilimia kubwa ni mafeminist, single maza, wake za watu waliojawa na tamaa mbaya, mademu za watu viruka njia, wanawake wa dangaji na wengi wao hawana mvuto, hawajielewi, na wengine ni wauzaji wa moja kwa moja jumla na rejareja

Kijana unaye tafuta mke au mwanamke wa kuzaa nae, hawa wanawake wa Jf wakiimbie ma uwaogope kabisa huu ni mzigo mzito na wa moto sana. Kijana tafuta mwanamke wa kuoa /kuzaa nae /kuishi nae huko mtaani.

Kutafuta mke Jf hakuna tofauti na kwenda kutafuta mke Tinder.

Huu uzi usifutwe, huu ni ukweli mchungu sana, saidieni vijana kwa kusema ukweli ili taasisi ya ndoa iimarike
Mimi na tafuta mke humu mbona unanikatisha tamaa?
 
Mleta uzi jifunze kuwa na hekima 😂😂😂
Binadamu sote tuna kasoro kibao hata kupigwa vizinga nayo ni kasoro moja wapo sijui mtazamo wako kuelekea mti wa jinsi tofauti yako uko vipi? Au unadhani kupata namba ya Ke humu unajiona kama umeshapiga one step ahead kwenye kulimega tunda?
Mbona humu wengine tunawasiliana nao lakini sio kwa matazamio ya kutaka kula tunda hata akiniomba vocha namrushia, hela ya juice/soda namrushia pasipo kuwa na dhamira ya kutaka mahusiano au kupewa tunda.
Kuwa na mawazo yenye usawaziko. Ukiwa una mawazo tofauti na matarajio yako utaumia sana roho na utavurugika sana akili.
 
Back
Top Bottom