The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
tinder na badoo ladies si ndio hao hao wa mitaani ?!! Kila mwanasiasa ni raia je raia wote wanatabia za uongo kama wanasiasa ??!!Mbona Kuna waliooa JF na wameleta feedback kuwa ndoa zao zinaendelea vizuri tu. JF ladies si ndio hao hao wa mtaani
Nuzuπ€£π€£Wanaume wenyewe sasa Wanao anzisha mada ukiletewa picha zao unaweza piga kelele kwa kicheko ni waajabu.
Eti anaogopa nini!!ππAmwage mboga [emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£cc mahonda
Ukweli my mimi nashabikia tu hapa ili mambo yamwagwe ili asipo mwaga tumpe title ya mzushi wa JF.Sijawahi ona ulipoandika kikorofi, my wangu ......
Haki vile usiombe upate picha zao mbilikimo pro max,kitambi cha kufutia simu,meno kama magimbi ya Ifakara,Macho mekundu kama nyanyaππππNuzuπ€£π€£
Moderator Huu uzi usifutwe huu ni ukweli, chama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani
Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023.
Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya nilioufanya kutoka kwa hawa dada zetu wa Jf, nipo hapa kupigwa mawe pasi na kujali lolote ila ukweli ufike.
Wengi wao ni wake za watu, mademu za watu na wengine ni single maza, kulia shida kwao ni jambo la kawaida sana , atakuomba buku ila jua hujaombwa mwenyewe.
Na ukiwasikiliza maneno yao na sauti zao nikama malaika apigaye tarumbeta la amani, sauti zao ni za mapenzi ya hali ya juu, wanajali sana na wepesi kumpandisha mwanaume hisia za haraka kama kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, ukiwa nao faragha hawana mvuto isipo kua sauti zao ni nzuri za kubembeleza kama mbayu wayu wa mwituni mithili ya kukupelekea wewe mwanaume kujiona upo peponi
wana mitego ya kimahaba na ukijichanganya unaweza hadi kuuza mechi hadharani na ukakata kusikiliza mawaiza na kuamua kuoa upesi pasi na kufikiria mara mbili
Vijana msije mkajichanganya mkaingia mtegoni kuoa wanawake wa humu ndani asilimia kubwa ni matapeli na wanavisasi zidi ya wanaume japo wanaonekana kama malaika, ni warahisi mno na wepesi sana kuchakatwa pasi na wao kujali lolote , wao kukuvulia nguo ni wewe tuu ujipimie.
Wanawake wa humu ndani Jf wameweka hela mbele kama posho ya huduma atakayo kupa na wengi wao wanajiona ni wagumu sana ila kwa upande mwingine ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa kama wewe ni mjanja mjanja na una vihela vya chenchi za karanga, hawa hawafai kuolewa ,kijana usije ukaingia mkenge utakuja kulia sana.
Wanawake wa Jf siyo wife material kabisa , wanamaomivu moyoni na asilimia kubwa ni mafeminist, single maza, wake za watu waliojawa na tamaa mbaya, mademu za watu viruka njia, wanawake wa dangaji na wengi wao hawana mvuto, hawajielewi, na wengine ni wauzaji wa moja kwa moja jumla na rejareja
Kijana unaye tafuta mke au mwanamke wa kuzaa nae, hawa wanawake wa Jf wakiimbie ma uwaogope kabisa huu ni mzigo mzito na wa moto sana. Kijana tafuta mwanamke wa kuoa /kuzaa nae /kuishi nae huko mtaani.
Kutafuta mke Jf hakuna tofauti na kwenda kutafuta mke Tinder.
Huu uzi usifutwe, huu ni ukweli mchungu sana, saidieni vijana kwa kusema ukweli ili taasisi ya ndoa iimarike
Na nyie mmetengeneza group lenu sioWanaume wenyewe sasa Wanao anzisha mada ukiletewa picha zao unaweza piga kelele kwa kicheko ni waajabu.
Unrealistic expectations!Sasa issue ya Kazi ulitaka uonane na Monalisa?
Ila Mbona Kama wanaume wengi siku hizi hawatumii logic kabisa ?
Mimi wala sina group ila picha naletewa ππNa nyie mmetengeneza group lenu sio
π€£π€£π€π€π€πWakati najiunga jf nilikutana na upepo fulani kila mtu ana demu wake kila mtu akichangia mada kwenye uzi lazima chini apige zile cc: alafu ana mention jina la mpenzi wake
Nikasema jf wana mapenzi ya kizungu sana ila ule upepo ulikuja kuisha vibaya ukiona Ex wako kachangia uzi fulani we unapita kimyakimya
Ka Depal kaache kwanza bado kanadanga!Ohooo utakua umenisaidia nilianza kukaelewa aka ka depal nikavute ndan. Ndo bas tena
Dada si tulikubaliana mwanaume mashine na pesa? π Labda wana mashine na pesa.Haki vile usiombe upate picha zao mbilikimo pro max,kitambi cha kufutia simu,meno kama magimbi ya Ifakara,Macho mekundu kama nyanyaππππ
π€£πMambo ya pdfAlishabamizwa parefu kama akina fulani ila kaficha.
Nina mafaili ya wengi sana waliopigwa na kile kibibi π
Huyu jamaa kajileta mwenyewe ila hajui kuwa ninalo file lake π
Unazisema sifa zangu wazi wazi,Haki vile usiombe upate picha zao mbilikimo pro max,kitambi cha kufutia simu,meno kama magimbi ya Ifakara,Macho mekundu kama nyanyaππππ
ApuuzweUkweli my mimi nashabikia tu hapa ili mambo yamwagwe ili asipo mwaga tumpe title ya mzushi wa JF.
Wacha tuchangamshe genge. Its holiday.Apuuzwe
Act wisely sio kuanzisha uzi tu ni kweli hayo mambo ya kupigwa vizinga yapo sanaa na Mabinti wengi humu ni Wapweke suala la kutaka kuanzisha mahusiano kisa umemfahamu humu ni suala jingine. Au ulianzisha uzi unataka mpenzi?Umesoma uzi ukaelewa au umekurupuka mkuu,? anza kusoma tena alafu urudi hapa
Sanaaa yaani sanaaWanaume wenyewe sasa Wanao anzisha mada ukiletewa picha zao unaweza piga kelele kwa kicheko ni waajabu.
Forest hatoki boya!Unazisema sifa zangu wazi wazi,
Umenigusa kwa maumivu.π