Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Mimi hapana ayo maji nmechemsha mda gani๐๐๐Na wewe acha kunimwagia maji ya moto kwenye mwandiko.punguza uchungu na kisirani ndugu mtanzania mwenzangu
Unafikiri hata inahitaji moto mwingi basi..๐๐๐Mimi hapana ayo maji nmechemsha mda gani๐๐๐
Hakuna mwanamke mgumu , mwanamke wa Jf anakua mgumu kama kakudefine wewe ni wa hovyo hovyo. Acha kukata tamaa mapema Jf unajipakulia tuu totozdah kama ni hvyo basi si rahisi. yan new id. uanze maisha ya kuigizaaa. basi kama ndivyo ni wagumu ndo maana mm sijawahi bahatika kwa namna hiyooo ngoma ngumu na uzi ni batili
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWanaume wenyewe sasa Wanao anzisha mada ukiletewa picha zao unaweza piga kelele kwa kicheko ni waajabu.
Sahihi kabisa, kama mimi nipo hapa na nipo Itigi vijijini ๐๐
Wewe ni mwanaume?hakika wanaume wa siku hizi mmekuwa wambea Hadi kujinadi!Kuna jamaa yangu jf ana mademu 7 na hawajuani.
Kuna mwamba amechumbia wanawake wawili na huwa napiga umbea hawajuani.
Jf ni uwanja wa fisi
Kuna nini tena๐ฅด"till nothing comes out any more", na alaf umeinyaka picha ya ms eyes kule selfika
unasubiria masaa matatu yapite
hakuna kituKuna nini tena๐ฅด
Daktari mhudumie au utaki wagonjwa wa aina hiyo ๐Mtu anasema yule binti kicheche
Wakati ye hajapewa
Huo ucheche aliupimaje?
Ndo mtoa mada huyo, asizingatiwe.
Na ifanyike rescue ya fasta, aongezwe daktari wa afya ya akili kwa kweli.
Depal unapajua Gran Melia.Mtu anasema yule binti kicheche
Wakati ye hajapewa
Huo ucheche aliupimaje?
Ndo mtoa mada huyo, asizingatiwe.
Na ifanyike rescue ya fasta, aongezwe daktari wa afya ya akili kwa kweli.
Napajua mkuu..Depal unapajua Gran Melia.
bei zao zipojeNapajua mkuu..
Za kitu gani boss? Chakula ama vinywaji?bei zao zipoje
Leo mida ya wanga 22:30 granmelia chugaNapajua mkuu..
Arusha leo pako hivi kufungua mwakabei zao zipoje