Huoni uzuri wa jf unaweza/kuna asilimia kubwa kufahamu baadhi ya mambo ya kipuuzi mapema?Wapo mtaani ila mtaani kuna kundi la kuoa na ambalo siyo la kuoa uaona live. Lile kundi ambalo siyo la kuoa ndiyo wapo humu
Hawa ndyo wanarudigi humu wakijuta kwenda kuoa kijijini kwao baada ya kuchapiwa na wahuni wa kitaa
Sa si ujibu maswali? Kwanini unayageuza kuwa povu?Acha povu wewe ,tulia dawa iingie vizuri.
Nimesema tinder maana mnaijua kazi ya tinder.
Sasa huu uzi si ungewatumia PM jamaniNiingizwa mkenge na siyo mara moja , ni mara nyingi zaidi na lengo ni ili kukamilisha research yangu
Mwache huyo mmoja aende, sisi ndo wale wanaume wa jeifu tusiotakiwa, tunabaki na nyie wanawake wetu wa jeifuSasa huu uzi si ungewatumia PM jamani
Acha kutoa mapovu kaa kwa kutulia. Lazima kizazi kipone ili ndoa zi imarike, hamna pakujifichia sasaKwendraaa
Wakikukataa jf, rudi mtaani ππMwache huyo mmoja aende, sisi ndo wale wanaume wa jeifu tusiotakiwa, tunabaki na nyie wanawake wetu wa jeifu
ππ sasa buku ni mzinga mkuu?Mkuu huyu jamaa kapigwa mizinga ya kutosha hadi akili ikakaa sawa π
Leo anavikumbuka vile vibuku buku alivyokuwa anagawa π
Angeleta videoππ sasa buku ni mzinga mkuu?
Hiyo si yakubetia, je angelibamizwa parefu kama wakina fulani
Na wao walikuwa na lengo, mkakutana wenye malengo yenuNiingizwa mkenge na siyo mara moja , ni mara nyingi zaidi na lengo ni ili kukamilisha research yangu
Mtaani kuna kundi ambalo siyo la kuoa , ambalo wengi wao wapo humu. Tuliza akili tafuta mke live mtaani acha kutafuta mke mtandaoni huku kumejaa malaysiaWakitoka JF ukakutana nao mtaani vipi? Watafaa?
Haya malalamiko yote ni kuwa mleta thread kakutana na WANAUME WA KIKE huko PM wamempeleka mjini.π€£Hawa ndyo wanarudigi humu wakijuta kwenda kuoa kijijini kwao baada ya kuchapiwa na wahuni wa kitaa
Anahaha tatizo ni shoboloza alafu anaeza kuwa alipigwa na dume.Angeleta video
Ule upepo uliisha baada ya kuutambua huu ukweli ila kabla ya hapo hawakujua huu ukweli ambao watu walikua hawausemi wakikutana naoWakati najiunga jf nilikutana na upepo fulani kila mtu ana demu wake kila mtu akichangia mada kwenye uzi lazima chini apige zile cc: alafu ana mention jina la mpenzi wake
Nikasema jf wana mapenzi ya kizungu sana ila ule upepo ulikuja kuisha vibaya ukiona Ex wako kachangia uzi fulani we unapita kimyakimya
Mwanaume mwenye ID ya kike πHaya malalamiko yote ni kuwa mleta thread kakutana na WANAUME WA KIKE huko PM wamempeleka mjini.π€£
Mambo ya ajabu hata mtaani yanapatikana .