Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Bora uoe mwanamke toka jf🤣

"Where dare to talk openly "

Ukachukue ka Depal kako,ka Missy Gf kalikofunguka tabia zake za bangi,mguu bara mguu pwani, kuliko asiyeifahamu Jf huko kazificha tabia za ujambazi unakuja kuzifahamu ndani ya ndoa🤣
Hawa ndyo wanarudigi humu wakijuta kwenda kuoa kijijini kwao baada ya kuchapiwa na wahuni wa kitaa
 
Wakati najiunga jf nilikutana na upepo fulani kila mtu ana demu wake kila mtu akichangia mada kwenye uzi lazima chini apige zile cc: alafu ana mention jina la mpenzi wake

Nikasema jf wana mapenzi ya kizungu sana ila ule upepo ulikuja kuisha vibaya ukiona Ex wako kachangia uzi fulani we unapita kimyakimya
 
Wakati najiunga jf nilikutana na upepo fulani kila mtu ana demu wake kila mtu akichangia mada kwenye uzi lazima chini apige zile cc: alafu ana mention jina la mpenzi wake

Nikasema jf wana mapenzi ya kizungu sana ila ule upepo ulikuja kuisha vibaya ukiona Ex wako kachangia uzi fulani we unapita kimyakimya
Ule upepo uliisha baada ya kuutambua huu ukweli ila kabla ya hapo hawakujua huu ukweli ambao watu walikua hawausemi wakikutana nao
 
Back
Top Bottom